Kila kitu kinawezekana ukiwa na nia thabiti. Apunguza mwili

Kila kitu kinawezekana ukiwa na nia thabiti. Apunguza mwili

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1646484196664.png

1646484211078.png

1646484225444.png

1646484237391.png

1646484249257.png

1646484268419.png

1646484280515.png

1646484295417.png

1646484312855.png

1646484325476.png

1646484341344.png
 
Hiv wakikonda huwa wanaenda kupunguzwa nyama zinazobaki zinaning'inia ama zinajivuta zenyewe?
 
Nafikiri sehemu kubwa huwa ni mafuta ambayo huyeyuka nafikiri!
Ndio hvyo. Sasa baada mafuta kuyeyuka si ile sehemu ambayo mafuta yalikuwepo inabaki wazi? Kama ni ngozi itabaki tepe tepe kwaiyo hapo wanafanyeje kuifanya ngozi iwe ndogo tena na ibane kuendana na mwili
 
Ndio hvyo. Sasa baada mafuta kuyeyuka si ile sehemu ambayo mafuta yalikuwepo inabaki wazi? Kama ni ngozi itabaki tepe tepe kwaiyo hapo wanafanyeje kuifanya ngozi iwe ndogo tena na ibane kuendana na mwili

Siyo mtaalamu huenda nyama zinajipanga zenyewe pole pole na labda ndio maana inachukuwa muda mrefu kupunguza uzito lkn mara nyingi kama mtu alikuwa overweight akapunguza uzito karibia wote ukimuona utajua tu hasa kama akiwa hana nguo maeneo ya tumbo, kifuani utaona tu kwamba nyama ni kama zimelala zimekosa support.
 
Back
Top Bottom