Utakufa gym bure...Hebu namm mnielekeze hayo mazoezi
Hiv wakikonda huwa wanaenda kupunguzwa nyama zinazobaki zinaning'inia ama zinajivuta zenyewe?
Ndio hvyo. Sasa baada mafuta kuyeyuka si ile sehemu ambayo mafuta yalikuwepo inabaki wazi? Kama ni ngozi itabaki tepe tepe kwaiyo hapo wanafanyeje kuifanya ngozi iwe ndogo tena na ibane kuendana na mwiliNafikiri sehemu kubwa huwa ni mafuta ambayo huyeyuka nafikiri!
Ndio hvyo. Sasa baada mafuta kuyeyuka si ile sehemu ambayo mafuta yalikuwepo inabaki wazi? Kama ni ngozi itabaki tepe tepe kwaiyo hapo wanafanyeje kuifanya ngozi iwe ndogo tena na ibane kuendana na mwili