Kang, Fredwash, shukran wakubwa.
Fredwash, kwani "extension ya application yako" inatakiwa iwe nini?
Na hizo latest/extra repositories, kama ume instal package halafu hapo hapo ikakataa ku run kwenye terminal, itakuwaje inahitaji extra/lates repositories wakati umetoka dakika hiyo hiyo huko kwenye ma repositories ? Kwani synaptic ilienda kuipata hiyo package kwenye repositories nzee? Manake uki update dakika hiyo hiyo sielewi utapataje kitu kipya kama haikuziona huko kwenye repos dakika tano zilizopita. If i'm making any sense.