Kila la heri university of arusha katika mitihani yenu

Ngongongare

Member
Joined
Jan 16, 2014
Posts
48
Reaction score
18
Napenda kuchukua nafasi hii kuwatakia kila la heri wanachuo wote wa Chuo kikuu cha Arusha
University of Arusha katika mitihani yao inayotarajiwa kuanza apo kesho tarehe 27-01-2014
katika kuitimisha safari yao ya Semister ya kwanza

May GOD BLESS U
 
ha ha ha ngongongare kitambo sana kipande kile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…