Kila la kheri Mtibwa dhidi ya Yanga

Ndala wamebahatika kupata goli la 2
yebo 2
Mtibwa 1
 
Mtaichukia yanga lakini mwisho wa siku mtakubali ndiyo baba Wa aoka Tanzabongooooo
 
Jana nilisema mtibwa atalala tuu,alitangulia kwa baiskeli ya mbao baadae akapitwa na V8 Turbo charger,,,,,,, Yanga oyeeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…