VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,137
- 17,908
Pazia la mwaka wa masomo wa 2012/2013 vyuoni linafunguliwa kesho ambapo UDSM inapokea wanafunzi wa mwaka wa kwanza. Kesho na muhula mzima wa kwanza patajaa vituko na ushamba wa kila aina. Ni mambo ya kawaida lakini. Cha muhimu ni kuwa vyuo vinafunguliwa na masomo kuanza. Maisha yanaendelea. Kila la kheri M4C wote!