VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,137
- 17,908
Nimekutana ubungo na mwanafunzi wa mwaka kwa kwanza udsm katoka kigoma asubuhi hii eti ananiambia nimuonyeshe sehemu ambayo ataweza kuoga na kubadili nguo eti amechafuka na vumbi la safari mimi nikamuelekeza mahali ambapo kuna mabafu ya kulipia ndio aende huko
Nimemkamata mwingine kashuka kwenye sumry ya bukoba eti ananiomba msaada nimwelekeze sehemu kunakouzwa nguo eti hawezi kwenda udsm na nguo zake za zamani eti anadai zimechakaa atachekwa na wasichana wa udsm
Ni kweliThanks, wacha 2kakaze!
Utaua MkuuNipo hapa dukani kwangu mara kaja jamaaa anatokea kibondo kata ya nyaronga kigoma anakwenda udsm akataka kununua maji ya kunywa ya litamoja nikamwambia litamoja 2500, akatoa dah nikasema leo na wiki hii nitatengeneza faida kubwa hapa dukani kutokana na wanafunzi wa mwaka wa kwanza udsm
lakin mkubwa badala ya kujiandaa kwenda MUCCOBS unakaa unashangaa watu wa udsm...duh mkubwa acha na mimi nikae hapa moshi stand nikucheki utavyong'aa mimacho...na ukizubaa tunakuvua mpaka viatu!!!!!ngoja niendelee kukaa hapa hapa ubungo ikiwezekana hata niwapige picha hawa wanafunzi wa mwaka wa kwanza udsm wamikoani jinsi walivyo chafuka na vumbi la safari
Nipo hapa dukani kwangu mara kaja jamaaa anatokea kibondo kata ya nyaronga kigoma anakwenda udsm akataka kununua maji ya kunywa ya litamoja nikamwambia litamoja 2500, akatoa dah nikasema leo na wiki hii nitatengeneza faida kubwa hapa dukani kutokana na wanafunzi wa mwaka wa kwanza udsm
ngoja niendelee kukaa hapa hapa ubungo ikiwezekana hata niwapige picha hawa wanafunzi wa mwaka wa kwanza udsm wamikoani jinsi walivyo chafuka na vumbi la safari
unapenda kupigamsuli udom utaupiga mpaka basiahsante mkuu ila nina mzuka na kushika peni si mnajua sijapiga nyanga kitambo. . .
Ahsante mkuu ila nina mzuka na kushika peni si mnajua sijapiga nyanga kitambo. . .