ACT Wazalendo
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 631
- 1,577
Hana tofauti na Matron au Patron kwa kule sekondari.
Tunawatakia kila la kheri vijana wetu wa Taifa Stars katika kulitumikia Taifa letu uzalendo wenu ndio ushindi wetu.
Mimi siamini katika miujiza..
Miujiza ipo ila sio Tz kuitoa Algeria.
Tulichopanda ktk soka ndicho tuvunacho wakati huu!Kwa nini tusiweze kuitoa Algeria?
Kumbuka kwenye mpira jambo lolote linaweza kutokea
Tushapigwa 6 mpaka sasa
Ya kweli haya?