LINCOLINMTZA
JF-Expert Member
- Mar 15, 2011
- 1,639
- 519
Kwa wale waliosoma A-level, nafikiri watakuwa wanakumbuka sana mambo yalivyokuwa walipokaribia kufanya mtihani wa F6. Nachukua fursa hii kuwataki mtihani mwema F6 wote.
Mungu awabariki sana
Awatie utulivu katika mitihani yenu.
Mufaulu vizuri ili mje muijenge nchi yetu inayobomolewa.
Mungu awabariki sana
Awatie utulivu katika mitihani yenu.
Mufaulu vizuri ili mje muijenge nchi yetu inayobomolewa.