Asaalam aleykum wanajamv ....mimi na mke wangu 2napenda sana hii nikutokana na mfumo w maisha 2liopendekeza 2ishi.na 2meamua kuishi ktk mfumo huo kutokana na dunia y sasa iliyogubikwa na magonjwa na fumanizi kila kukicha.mimi na mke wangu 2meamua kuwa wazi kila mmoja we2 ruksa kuchakachua nje ilimradi ku2mia jezi(kondom) ...ikitokea cku anaenda kuchakachuliwa aniaga na akirudi aniadisia jamaa alivyompinda wakit mwingine na mimi hivyo hivyo nikienda namuaga nikirudi namcmulia jinsi nilivyokamua.... je ni vizuri au nimechemka.nawaclisha
Kwa maoni ya wanaJF, kweli nimegundua wanapenda sana kufanya mambo kwa siri. Yaani wanajidanganya ati kuficha dhambi ndo utakatifu. Hamjui kwmba ni rahisi kwa watu walio wazi kiasi hicho kufika pahala pa kukubaliana kiurahisi na kwa uwazi kuachana na tabia hizo? Hamjui kuchakachua kwa siri hakuna tofauti na uuaji na ni dhambi kubwa zaidi ambayao inaunganisha UONGO na KUCHAKACHUA. Wakati ukimwaga mwenzako kuwa unaenda kuchakachukuliwa unakuwa umeepuka dhambi ya uongo.
Tuache ushakunaku, udwindwizo na kujibaraguza kuwa waliowawazi ndo wachafu. Tuwe wastaarabu jamani. Atleast hata kusema tunachokifanya. Ninakubaliana sana na mtoa mada.
Kwa maoni ya wanaJF, kweli nimegundua wanapenda sana kufanya mambo kwa siri. Yaani wanajidanganya ati kuficha dhambi ndo utakatifu. Hamjui kwmba ni rahisi kwa watu walio wazi kiasi hicho kufika pahala pa kukubaliana kiurahisi na kwa uwazi kuachana na tabia hizo? Hamjui kuchakachua kwa siri hakuna tofauti na uuaji na ni dhambi kubwa zaidi ambayao inaunganisha UONGO na KUCHAKACHUA. Wakati ukimwaga mwenzako kuwa unaenda kuchakachukuliwa unakuwa umeepuka dhambi ya uongo.
Tuache ushakunaku, udwindwizo na kujibaraguza kuwa waliowawazi ndo wachafu. Tuwe wastaarabu jamani. Atleast hata kusema tunachokifanya. Ninakubaliana sana na mtoa mada.
Nadhani hii ni injili kutoka kitabu cha Freemasons
Nyie wenye ndoa ya ajabu Mbinguni na Kuzimu(maana hata majini hayataki ku-share), hakika nawaambia mnajidanganya kuhalalisha uovu eti kwa kisingizio cha uwazi, na pia lazima kuna mmoja wenu si muwazi kwani kuna siku huwa hatumii condom kwa watu/mtu wake aliyemchagua ambaye naye ana mtu mwingine and so and so on.
Generally I can say for this thread; "Freemasons at Work"
Asaalam aleykum wanajamv ....mimi na mke wangu 2napenda sana hii nikutokana na mfumo w maisha 2liopendekeza 2ishi.na 2meamua kuishi ktk mfumo huo kutokana na dunia y sasa iliyogubikwa na magonjwa na fumanizi kila kukicha.mimi na mke wangu 2meamua kuwa wazi kila mmoja we2 ruksa kuchakachua nje ilimradi ku2mia jezi(kondom) ...ikitokea cku anaenda kuchakachuliwa aniaga na akirudi aniadisia jamaa alivyompinda wakit mwingine na mimi hivyo hivyo nikienda namuaga nikirudi namcmulia jinsi nilivyokamua.... je ni vizuri au nimechemka.nawaclisha