Kila m2 akifanya hv! HIV kwaheri.


Wewe ndo zuzu kweli x 2!
 
Unafikiri condom is 100% effective in preventing HIV! Nendeni mkapime muone mlivyo na kabila nyingi za vvu!
 

hapo uko ryt mkuu wa2 huwa wanafikir kutembea nje bila mke kujua hiyo cyo dhambi kw kua mke hajajua .... na hakuna zambi ndogo wala kubwa.
 
Unafikiri condom is 100% effective in preventing HIV! Nendeni mkapime muone mlivyo na kabila nyingi za vvu!

ukii2mia ipasavyo inazuia 99.9% ndio mana wataalamu wanashaur i2miwe kujikinga.
 

Nadhani hii ni injili kutoka kitabu cha Freemasons

Nyie wenye ndoa ya ajabu Mbinguni na Kuzimu(maana hata majini hayataki ku-share), hakika nawaambia mnajidanganya kuhalalisha uovu eti kwa kisingizio cha uwazi, na pia lazima kuna mmoja wenu si muwazi kwani kuna siku huwa hatumii condom kwa watu/mtu wake aliyemchagua ambaye naye ana mtu mwingine and so and so on.

Generally I can say for this thread; "Freemasons at Work"
 

he! kuto2mia?!!
 
Huyu kama si mvuta bange basi atakuwa mental.
 
katika mapopompo nliowah kuwaskia wewe unaongoza jopo:sick: pia lazma utakuwa unakula bange
 
katika mapopompo nliowah kuwaskia wewe unaongoza jopo:sick: pia lazma utakuwa unakula bange

Ht bangi cvuti nilivutaga zamani sana nikiwa sekondari.
 
is it a joke or what? mmh kijana wangu hii issue ni serious sana sio ya kufanyia utani kiasi hiki, nenda hospitali ukute ndio mtu anatoka kuchukua majibu yake, acha utani kabisa na hii kitu
 
Hiyo safi sana kamanda, unadjusted waafrika winging has a watanzania tunaangamia kwa unafiki. Hata Hayati Remmy alipoimba mambo kwa soksi nyakati zile walimuona mwendawazimu,lakini sasa hivi naona wamekubali kufuata mambo ya mwendawazimu. Big up man kwa Kuwait muwazi.
 
ipo siku atakuletea bwana zake wakule ndogo ndo utashtuka na kujua upo wap.
 


Hayo machicha ya nazi kichwani ulonayo wewe na mkeo ndo sababu ya hayo mfanyayo. Ebu tuelezeni mlilelewa na nani?
 
kuna ujazo mwingine wa ajabu
 
Hiyo sio ndoa na huyo sio mke wako

Mila na Desturi haziruhusu jambo kama hilo

KIIMANI hakuna Dini inaruhusu hayo

Nadhani kama ni kweli hili lipo mnatakiwa kuangaliwa Akili zenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…