Kila mbuyu na shetani wake

Kila mbuyu na shetani wake

Babylon

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2009
Posts
1,332
Reaction score
83
Hivi mzee yusufu Makaba bado yupo nasi? alituhaidi atamjibu mamaAnne Kilango kutokana na ile kauli yake aliyosema kuwa kuna mafisadi miongoni mwao,lakini kwa bahati mbaya miezi imepita bila ya majibu,au tayari amesha towa majibu na kama ameshatowa majibu kuna mtu yeyote anaweza kutubandikia hapa tukayaona ?na kama hakuna majibu basi inadhihirisha kuwa huyu mama sio wakuchezewa na makamba,pia ni aibu kwa huyu mzee kwani vijana na watu wengine ndani ya jamii watamuona kuwa si msemaji ukweli na hana ukweli .
 
Last edited:
Kiala Shetani na Mbuyu wake!

Haya tuendelee na mjadala.
 
Back
Top Bottom