Sisi ndiyo Simba SC AKA;Utopolo wanangaika na Simba kuliko hata timu Yao, Simba ipo Imara.
Tumalizie na kibwagizo chetu pendwa cha "Ubuntu botho"Utopolo wanangaika na Simba kuliko hata timu Yao, Simba ipo Imara.
HahaaSisi ndiyo Simba SC AKA;
1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Mikia SC.
8. Mazumbukuku SC.
9. Manyaunyau (mapaka) SC.
10. Manyang'au SC.
11. Miso Misondo SC.
12. Mwakarobo SC.
13. Mazombi SC.
14. Kolokhamsa SC.
15. Kolowizards SC.
16. Kinyume nyume SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Bahasha SC.
20. Ngada SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Masandakolozidad SC.
23. 5imba SC.View attachment 2979014View attachment 2979015
Waombe uto wakupeleke kwa Ras simba ukamalizie courseThat's not true....I'm talking what real happening to makolo
Hamna English mbovu kwa mtu anayeishi LondonNipo London mkuu....Rasi Simba simjui
Timu yoyote ikipangwa kucheza na Yanga wacheazaji wanaomba wanaomba udhuru, ila inapokuja kucheza na Simba kila mchezaji anaingia mazoezini kwa furaha.Za chini chini naskia Kila mchezaji huko ukoloni (Simba) anataka kuforce kusajiliwa na Yanga .....alianza Chama Baada ya kuzinguliwa kamaind na kubeba begi Hadi kwao
Kibu pia kwa lolote lile Simba wapo tyr kumfanyia ...lkn jamaa anataka kwenda Yanga
Onana ....ayubu wote hawa wanataka kuja Yanga ....Je Sasa Kila mtu akienda Yanga ..,... balance of power itakuaje
NB
SASA KAMA KILA MCHEZAJI ANATAKA KUCHEZA YANGA NA KOCHA NDIO GAMONDI WEWE HUOGOPI......!!!!🫵[emoji1787]View attachment 2979006
Simba gani?Utopolo wanangaika na Simba kuliko hata timu Yao, Simba ipo Imara.