Kila mchezaji wa Taifa Stars kupata Tsh milioni 10 iwapo timu itafuzu kucheza AFCON

Sasa vijana wote wakicheza mpira bongo hii itakalika??
 
Mnamuonea. Hivi nikiwaambia amemuomba "baba" yake wa Magogoni na amempatia,mtabisha?Yeye na baba hufanya kazi zao kwa networking, ja!?
 
Reactions: BAK
Hivi mtu waanzaje shangia taifa staa ? Washangilia huku unangojea lesotho atakavyo score?
hata iwe
MSALABA 159 UGANDA 0
alafu Kap vedE 0 LEsotho 1 ni kazi bure.
 
Sasa hao wachezaji wanapewa hizo ela kwa kazi gani waliyoifanya maana hii mechi kuna wepesi wanafanyiwa na Uganda yani team imeshindwa kuifunga Lesotho mechi hata moja alafu leo uwapr pesa kirahisi

Kuna wanamichezo wengi tu tanzania wamefanya vuzuri lakini sikumbuki kama walitunzwa vizuri.

Hizo fedha si zinaweza kuboresha moja ya vieanja hapa Tanzania bora ziende huko
 
Sasa vijana wote wakicheza mpira bongo hii itakalika??

Vipaji vipo vingi na kucheza mpira ni sehemu tu! Nimetoa tu rai kwa jamii kubadili mtazamo wa kuwaaminisha watoto ya kuwa kusoma na kuajiriwa ndiyo njia pekee ya kutoka kimaisha.
 
Mkuu pesa inatoa kamati ya Makonda sio yeye Makonda, so hapo wanakamati wanachangishana wanatoa milion 200 kwa wachezaji 20 tu. Makonda huwa hafanikiwi na hili litapita tu nipo hapa mpira unachezwa uwanjani sio chumbani.
Kamati yenye Stive nyerere,wema,mwanaFA haji manara watoe Milioni 200 kweli hahahahahs

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninachokijua Ni Kuwa Hazina na TRA waliufyata kwa Governor wetu wa Jimbo kuu la Dar Es salaam

Ushaskia Tena Cha Mnada
Maana yake utaratibu wa kukusanya mapato wa TRA ulikiukwa halafu tutegemee kuacha kuwa omba omba.
 
Mwenyekiti wa Kamati ya Saidia Taifa Stars Ishinde RC Paul Makonda amesema kamati yake itatoa Sh10m kwa kila mchezaji iwapo timu itafuzu kucheza AFCON
Timu itafuzuje wakati ipo nafasi ya tatu! Hau wataifunga Uganda alafu wanakimbia kwenda kuisaidia cape Verde kuifunga Lesotho!!!?

Makonda hawe anatoa ahadi inayotekelezeka, bora angesema stars wakishinda mechi ya Uganda siyo wakifuzu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie mlizaliwa kwenye zizi la ng'ombe????hujui main sponsor wa Taifa stars ni Serengeti Breweries... Sasa 300 m kampuni kubwa kama ile inashindwaje kutoa..Uganda mwaka juzi walipewa 40 m
 
Vip kama stars wakishinda na Lesotho nao wakishinda, hiyo 10m bado watapewa?
 
NAULIZA TU.LESOTHO AKISHINDA BADO TUNAENDA AFCON AMA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…