LA7
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 655
- 2,369
Huwa napata uchungu sana pale nikiwa natembea bara barani halafu nakutana na mtu mwenye ulemavu akiwa na bakuli anaomba omba,
Wazo langu kwakuwa sisi watanzania hatunaga baya pale tunapoona serikali inatoa msaada basi serikali itenge maeneo maalumu ya watu hawa na iwatengenezee miundombinu ya kilimo ufugaji na nk.
Sababu vilema wapo wa aina tofauti mfano asiye na miguu anayo mikono asiye na macho anayomasikio, na hii itakuwa ni kwa wale tu wasiojiweza ila nguvu na akili wanazo,
Pia kutakuwa na vigezo vya mtu kuingia kule
Japo najua changamoto hazkkosekani hasa pale watakapokuwa wamepata watoto na watoto watakapokuwa wakubwa itakuwaje?
Najua serikali ina wasomi wengi hawatakosa namna ya kufanya,
Nawasilisha hayo ni maoni yangu tu
Wanateseka sana wanahitaji huruma ya serikali.
Wazo langu kwakuwa sisi watanzania hatunaga baya pale tunapoona serikali inatoa msaada basi serikali itenge maeneo maalumu ya watu hawa na iwatengenezee miundombinu ya kilimo ufugaji na nk.
Sababu vilema wapo wa aina tofauti mfano asiye na miguu anayo mikono asiye na macho anayomasikio, na hii itakuwa ni kwa wale tu wasiojiweza ila nguvu na akili wanazo,
Pia kutakuwa na vigezo vya mtu kuingia kule
Japo najua changamoto hazkkosekani hasa pale watakapokuwa wamepata watoto na watoto watakapokuwa wakubwa itakuwaje?
Najua serikali ina wasomi wengi hawatakosa namna ya kufanya,
Nawasilisha hayo ni maoni yangu tu
Wanateseka sana wanahitaji huruma ya serikali.