ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Kila mtu anapambana na hakuna anayelala njaa Leo tujuane kwa kazi zetu zinazotuweka mjini.tuambie unapopatia posho
Nikianza Na Mimi mwenyewe Ni mfanyabiashara wa grocery yaani Ni pamoto balaa wateja Ni pasua kichwa anyway tutaishi nao.wewe mwenzangu unauza Nini au unafanya kazi gani?
Nikianza Na Mimi mwenyewe Ni mfanyabiashara wa grocery yaani Ni pamoto balaa wateja Ni pasua kichwa anyway tutaishi nao.wewe mwenzangu unauza Nini au unafanya kazi gani?