THE REPORT
Senior Member
- Jan 13, 2021
- 167
- 203
Inasaidia connection na vitu vingi sana...Wewe hi inakusaidia nini? Umbea tu! Haya mimi ni CEO
Kuna jamaa nilimuona anasema analaza 70k faida kwa siku kwa hii biashara...Mama ntilie asubuhi napika chapati na supu ya mapupu bandama na Koromeo.
Jioni naamia kwenye kukaanga mihogo miguu ya kuku utumbo na firigisi..[emoji4]
Alhamdulilah!!! Life linasonga.
Huyo jamaa wa pumbu za mbuzi yuko wap nataka A B C nitoke hapa kwa shemeji maana siku akimtema dada sijui itakuwaje!Kuna jamaa nilimuona anasema analaza 70k faida kwa siku kwa hii biashara...
Ila yeye ana dili sana na pumbu za mbuzi
Najiona mimiMimi sina kazi zaidi ya kuomba omba na hasa humu jf nimeandika bandiko langu moderate kashafuta, linahusu nina njaa nina shida na ten 0622730684 wakipiga ban basi waniache
Niliona yupo ubungo...fuatilia kipindi cha kazi ni kazi UTVHuyo jamaa wa pumbu za mbuzi yuko wap nataka A B C nitoke hapa kwa shemeji maana siku akimtema dada sijui itakuwaje!