Kila moja Anamshangaa Halima Mdee, si CCM au Wapinzani lakini uzalendo na harakati mnazotaka afanye hata Mitume ziliwashinda

Kila moja Anamshangaa Halima Mdee, si CCM au Wapinzani lakini uzalendo na harakati mnazotaka afanye hata Mitume ziliwashinda

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Kwenye vipande vya fedha na Hofu usimwamini mtu yoyote. CCM wamejua pa kushika.

Biblia inasema Yesu aliteua Mitume 12 tu aliowaamini Sana miongini mwa wanafunzi wake. Walishuhudia miujiza ya kila Aina na ishara nyingi kutoka mbinguni. Kama taswira za Elia na Mussa kilimani na Petro akashauri watengeze vibanda vitatu pale.

Lakini yalipoanza mateso Petro alimkana Yesu kuwa hamjui kabisa. Sio mwanafunzi wake. Sasa Lissu kashugulikiwa kalala mbele kibinadamu lazima wafuasi wake watawanyike tu. Ata baada ya yesu kufa wanafunzi wake walitawanyika wengine wakajifungia wengine wakarudi kwenye mishe zao za uvuvi.

Walirudi kwenye mstari alipoanza kuwatokea.

Watu humtukana Sana Yuda. Oh.. msaliti. Hakuzaliwa msaliti Yule. Alikuwa mtume wa Mungu ambaye Yesu mwenyewe alimteua. Ila kwenye uzia penyeza rupia. Na wayaudi walipenyeza. Na bahati zilipita kwa Yuda lkn Uwezi jua Zingeweza kupitia kwa Matayo au Ata Petro na wao uwenda wangechukua na kufanya alichokifanya Petro.

Mdee NI mtu, ana njaa kama wewe na Mimi. Kwa mazingira ya kukosa ubunge unazani angeishi vip? Kama manabii walishindwa yeye angeweza vipi?

Alikuwepo Askofu kakobe alipinga Sana serikali awali. Tra walipochungulia fedha za Kanisa lake na Mali na biashara za Watoto wake amekuwa mtu wa nyimbo za kusifu na kuabudu tu.

Nashauri kamati kuu wasifanye maamuzi kwa hasira na kukurupuka.
 
Kwenye vipande vya fedha na Hofu usimwamini mtu yoyote. CCM wamejua pa kushika.
Biblia inasema Yesu aliteua Mitume 12 tu aliowaamini Sana miongini mwa wanafunzi wake. Walishuhudia miujiza ya kila Aina na ishara nyingi kutoka mbinguni. Kama taswira za Elia na Mussa kilimani na Petro akashauri watengeze vibanda vitatu pale.
Hivyo basi vijana achaneni kujitoa mhanga pasipo sababu hakuna mwanaharakati wa kweli wote wanatafuta kula. Ukipata ulaji we kula tu maana kwa siasa zetu hakuna anayepigania ukombozi wako wewe ndiye ukajikomboe tu.

Kuanzia leo ni mwendo wa kupraise and kuworship juhudi ngoja na mimi niwe amaliza kwa kuweka namba ya simu huenda nitakumbukwa katika ulaji wa keki ya taifa.
 
Ukweli kabisa hii pesa ina mambo sana.
 
Hii ya Halima Mdee ni cha mtoto. Tumewaambia siku zote hicho chama kipo kimaslahi hamkuelewa, na leo hafukuzwi mtu. Kwa hilo naweza kubet hela yoyote niliyonayo.
 
Tunamfuta UWANACHAMA kwa usaliti, aende huko kwenye "VIPANDE vya PESA"/ kodi zetu., shida hakuna.

Mpokeeni nyie wanunua watu waunge juhudi.
Binadamu anaenunuliwa kama bizaa sokoni, ni CCM tu anasoko.
 
Ile ni Ijumaa na hadi muda huu hakuna uodates zozote. Hiy9 inakuambia kitu.
CHADEMA ni zaidi ya ujuavyo
 
Hahaha tunataka afe kishujaa, na ushujaa ni pamoja na kuishinda njaa.

Ukifa umeshiba na ukifa una njaa matokeo ni yale yale unakuwa umekufa tu.

Ila tutamsifu zaidi akifa nasi huku kwenye njaa.
 
Kwenye vipande vya fedha na Hofu usimwamini mtu yoyote. CCM wamejua pa kushika.

Biblia inasema Yesu aliteua Mitume 12 tu aliowaamini Sana miongini mwa wanafunzi wake. Walishuhudia miujiza ya kila Aina na ishara nyingi kutoka mbinguni. Kama taswira za Elia na Mussa kilimani na Petro akashauri watengeze vibanda vitatu pale.

Lakini yalipoanza mateso Petro alimkana Yesu kuwa hamjui kabisa. Sio mwanafunzi wake. Sasa Lissu kashugulikiwa kalala mbele kibinadamu lazima wafuasi wake watawanyike tu. Ata baada ya yesu kufa wanafunzi wake walitawanyika wengine wakajifungia wengine wakarudi kwenye mishe zao za uvuvi.

Walirudi kwenye mstari alipoanza kuwatokea.

Watu humtukana Sana Yuda. Oh.. msaliti. Hakuzaliwa msaliti Yule. Alikuwa mtume wa Mungu ambaye Yesu mwenyewe alimteua. Ila kwenye uzia penyeza rupia. Na wayaudi walipenyeza. Na bahati zilipita kwa Yuda lkn Uwezi jua Zingeweza kupitia kwa Matayo au Ata Petro na wao uwenda wangechukua na kufanya alichokifanya Petro.

Mdee NI mtu, ana njaa kama wewe na Mimi. Kwa mazingira ya kukosa ubunge unazani angeishi vip? Kama manabii walishindwa yeye angeweza vipi?

Alikuwepo Askofu kakobe alipinga Sana serikali awali. Tra walipochungulia fedha za Kanisa lake na Mali na biashara za Watoto wake amekuwa mtu wa nyimbo za kusifu na kuabudu tu.

Nashauri kamati kuu wasifanye maamuzi kwa hasira na kukurupuka.
Acha kufananisha Mitume wa Mungu na hawa wapuuzi, unaweza kunitajia Mtume mmoja ambaye alishindwa kufanya kazi aliyotumwa kisha akamkufuru Mungu kwa kumuunga mkono shetani?
 
Acha kufananisha Mitume wa Mungu na hawa wapuuzi, unaweza kunitajia Mtume mmoja ambaye alishindwa kufanya kazi aliyotumwa kisha akamkufuru Mungu kwa kumuunga mkono shetani?
 

Attachments

  • 2625094_Zitto.jpg
    2625094_Zitto.jpg
    34.2 KB · Views: 1
You're the most Genius, honest and open minded person I have ever met in social media. *


You're absolutely correct*
 
Leo ni ijumaa, Black Friday, let us have some fun
 
NEVER, EVER trust a politician. They don't have permanent Friends nor permanent ENAMIES.Only permanent Interests matters.NINAFAUDIKAJE MIMI NA FAMILA YANGU? Ndugu zangu don't risk toon much for the sake of politicians, it's bullshit. They're just bulling of US.
 
Hii ya Halima Mdee ni cha mtoto. Tumewaambia siku zote hicho chama kipo kimaslahi hamkuelewa, na leo hafukuzwi mtu. Kwa hilo naweza kubet hela yoyote niliyonayo.
Akili ndogo sana unashangilia matokeo Badala ya mchakato??? Sikushangai maana upo kundi la wanaoshangilia mindege na kusahau kwamba taratibu za manunuzi za Tanzania zilisiginwa na uchumi mkuu wa taifa
 
Kwenye vipande vya fedha na Hofu usimwamini mtu yoyote. CCM wamejua pa kushika.

Biblia inasema Yesu aliteua Mitume 12 tu aliowaamini Sana miongini mwa wanafunzi wake. Walishuhudia miujiza ya kila Aina na ishara nyingi kutoka mbinguni. Kama taswira za Elia na Mussa kilimani na Petro akashauri watengeze vibanda vitatu pale.

Lakini yalipoanza mateso Petro alimkana Yesu kuwa hamjui kabisa. Sio mwanafunzi wake. Sasa Lissu kashugulikiwa kalala mbele kibinadamu lazima wafuasi wake watawanyike tu. Ata baada ya yesu kufa wanafunzi wake walitawanyika wengine wakajifungia wengine wakarudi kwenye mishe zao za uvuvi.

Walirudi kwenye mstari alipoanza kuwatokea.

Watu humtukana Sana Yuda. Oh.. msaliti. Hakuzaliwa msaliti Yule. Alikuwa mtume wa Mungu ambaye Yesu mwenyewe alimteua. Ila kwenye uzia penyeza rupia. Na wayaudi walipenyeza. Na bahati zilipita kwa Yuda lkn Uwezi jua Zingeweza kupitia kwa Matayo au Ata Petro na wao uwenda wangechukua na kufanya alichokifanya Petro.

Mdee NI mtu, ana njaa kama wewe na Mimi. Kwa mazingira ya kukosa ubunge unazani angeishi vip? Kama manabii walishindwa yeye angeweza vipi?

Alikuwepo Askofu kakobe alipinga Sana serikali awali. Tra walipochungulia fedha za Kanisa lake na Mali na biashara za Watoto wake amekuwa mtu wa nyimbo za kusifu na kuabudu tu.

Nashauri kamati kuu wasifanye maamuzi kwa hasira na kukurupuka.
Kwa mtu kama Halima Mdee ukiniambia ni tamaa nitakuelewa, lakini sio njaa. Halima Kawa mbunge 15 consecutive years, ana njaa gani? Hili bandiko lako ni kutaka kuonyesha kuwa hakuna uwezekano wa kuwa na wapinzani ama ni nini? Usilete hadithi za kutisha na kutaka kuhalalisha haramu.
 
Back
Top Bottom