Ni wazi kuwa karibia sote tunaishi kwa mazoea na wengi hatuzingatii umuhimu wa 'AFYA'.
Download hiyo attachment uisome kwa uelewa binafsi kwanza halafu baadaye umdokezee na mwenzako.
Ni muhimu sana na nimeona inafaa kushea na ww kama ndugu, jamaa na rafiki.