Itoye
JF-Expert Member
- Sep 29, 2017
- 531
- 1,023
Salaam,
Najiuliza kwa baadhi ya watanzania wenzetu, tatizo ni nini au tatizo liko wapi?
Hivi wengine wakifanya kazi BOT, wengine wakawa TRA, wengine wakawa PUMA na wengine wakawa machinga na wengine wakalima na wengine wakafunga nk nk nk, kuna tatizo hapo??
Wengine wakienda shinyanga kwa Ali kiba, wengine wakaenda Mtwara kwa Diamond na wengine wakaenda DSM kwa Kusaga/Ruge na wengine tukaendelea na mishe zetu, kuna tatizo hapo?
Si ni kila mtu anatafuta riziki yake na kuitumia kadiri apendavyo! Sasa maneno maneno na kejeli za kukatishana tamaa vinatoka wapi?
Good morning!
Najiuliza kwa baadhi ya watanzania wenzetu, tatizo ni nini au tatizo liko wapi?
Hivi wengine wakifanya kazi BOT, wengine wakawa TRA, wengine wakawa PUMA na wengine wakawa machinga na wengine wakalima na wengine wakafunga nk nk nk, kuna tatizo hapo??
Wengine wakienda shinyanga kwa Ali kiba, wengine wakaenda Mtwara kwa Diamond na wengine wakaenda DSM kwa Kusaga/Ruge na wengine tukaendelea na mishe zetu, kuna tatizo hapo?
Si ni kila mtu anatafuta riziki yake na kuitumia kadiri apendavyo! Sasa maneno maneno na kejeli za kukatishana tamaa vinatoka wapi?
Good morning!