Ibrahimeliza
Member
- Nov 25, 2020
- 37
- 26
Jambo linalo sikitisha ni kwamba kila mtu anatamani kuishi maisha ambayo sio ya uhalisia wake, nataka kuwa kama fulani tulivyokuwa wadogo tulikuwa tunajua ni utoto tu, hapana mpaka sasa wakubwa kila mtu anasema nataka kuwa kama mtu fulani, ukiwa kama fulani utapendeza sana, nataka niishi kama fulani anavyoishi.
Hili jambo la kuiga iga maisha ya watu sio jambo lililoanza juzijuzi tu au miaka ya tisini hapa ni lamuda mrefu sanaaa, swali la msingi hapa ni hiyo kama fulani ni sahihi? Huyo fulani ni sahihi kwako? Fulani anaathari gani katika maisha yako?
Fulani nae si anae fulani wake.
#-+×÷## Ila kuwa kama fulani wewe kisha utakuwa fulani unaemtaka wewe
Hili jambo la kuiga iga maisha ya watu sio jambo lililoanza juzijuzi tu au miaka ya tisini hapa ni lamuda mrefu sanaaa, swali la msingi hapa ni hiyo kama fulani ni sahihi? Huyo fulani ni sahihi kwako? Fulani anaathari gani katika maisha yako?
Fulani nae si anae fulani wake.
#-+×÷## Ila kuwa kama fulani wewe kisha utakuwa fulani unaemtaka wewe