Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Wasalaam wana jamvi
Katika moja ya changamoto kubwa kwenye biashara ya muziki na burudani kwa sasa ni wasanii kuweza kuwafurahisha mashabiki mwanzo wa show hadi mwisho hata kama msanii hana wimbo mpya.
Ukweli ni kwamba asilimia kubwa ya wasanii wetu wa bongo fleva ni wachovu kabisa jukwaani tena ni watu wanao boa kabisa wakipanda jukwaani na ni bora ukasikiliza radio kuliko kuwasikiliza wakiwa jukwaani.
Wasanii wetu wamezoea kuimba juu ya wimbo na hawana pumzi kabisa hata za kuimba dakika 20 badala yake ni kupiga kelele na mashabiki wanabaki wana waangalia tuu.
Kuna muda mwingine msanii anapanda jukwaani anaimba wimbo ambao ni maarufu hadi watu wanaanza kuulizana ni huyu aliyeimba au mwingine?
Hapo zamani kabla ya ujio ya mziki wa singeli kwenye main stream ukweli wanamuziki wa hip hop walikuwa hawana mpinzani kabisa kwenye majukwaa lakini kwa sasa wanapata upinzani mkubwa sana wanapo kutana na wanamuziki wa singeli ni wana hip hop wachache sana kwa sasa wanaweza kubatle kwenye jukwaa moja na wasanii wakubwa wa singeli.
Lakini pamoja na hayo yote Msanii Mr blue ndiye msanii ambaye anao uwezo mkubwa sana stegini na pumzi kubwa stejini na ni ukweli usiopingika ni msanii pekee ambaye aweza kupambana na wasanii wa singeli katika kuwateka mashabiki na kuimba nao
Pengine Mr Blue aongelewi sana kwenye maradio na kwenye mitandao ya kijamii lakini ndiye msanii anayekubaliki sana majukwaani na mashabiki na kama kuna mtu aliwai tazama show yeyote ya Mr Blue au kuhudhuri matamasha atakubaliana nami kuwa Mr Blue ni mfalme wa jukwaa kwa sasa.
Pengine watu wanaweza wasikubaliane nami lakini tunaomba tuulizane kama kuna msanii wa sasa mwenye pumzi stejini kama Mr Blue.
Baada ya kumuangalia jana kwenye mziki mnene ya EFM aliendelea kunithibitishia kuwa yeye ni mfalme kabisa wa stageni na pia pengine Dares-salaam ni base yake kabisa.
Wasalaam
Katika moja ya changamoto kubwa kwenye biashara ya muziki na burudani kwa sasa ni wasanii kuweza kuwafurahisha mashabiki mwanzo wa show hadi mwisho hata kama msanii hana wimbo mpya.
Ukweli ni kwamba asilimia kubwa ya wasanii wetu wa bongo fleva ni wachovu kabisa jukwaani tena ni watu wanao boa kabisa wakipanda jukwaani na ni bora ukasikiliza radio kuliko kuwasikiliza wakiwa jukwaani.
Wasanii wetu wamezoea kuimba juu ya wimbo na hawana pumzi kabisa hata za kuimba dakika 20 badala yake ni kupiga kelele na mashabiki wanabaki wana waangalia tuu.
Kuna muda mwingine msanii anapanda jukwaani anaimba wimbo ambao ni maarufu hadi watu wanaanza kuulizana ni huyu aliyeimba au mwingine?
Hapo zamani kabla ya ujio ya mziki wa singeli kwenye main stream ukweli wanamuziki wa hip hop walikuwa hawana mpinzani kabisa kwenye majukwaa lakini kwa sasa wanapata upinzani mkubwa sana wanapo kutana na wanamuziki wa singeli ni wana hip hop wachache sana kwa sasa wanaweza kubatle kwenye jukwaa moja na wasanii wakubwa wa singeli.
Lakini pamoja na hayo yote Msanii Mr blue ndiye msanii ambaye anao uwezo mkubwa sana stegini na pumzi kubwa stejini na ni ukweli usiopingika ni msanii pekee ambaye aweza kupambana na wasanii wa singeli katika kuwateka mashabiki na kuimba nao
Pengine Mr Blue aongelewi sana kwenye maradio na kwenye mitandao ya kijamii lakini ndiye msanii anayekubaliki sana majukwaani na mashabiki na kama kuna mtu aliwai tazama show yeyote ya Mr Blue au kuhudhuri matamasha atakubaliana nami kuwa Mr Blue ni mfalme wa jukwaa kwa sasa.
Pengine watu wanaweza wasikubaliane nami lakini tunaomba tuulizane kama kuna msanii wa sasa mwenye pumzi stejini kama Mr Blue.
Baada ya kumuangalia jana kwenye mziki mnene ya EFM aliendelea kunithibitishia kuwa yeye ni mfalme kabisa wa stageni na pia pengine Dares-salaam ni base yake kabisa.
Wasalaam