Kila mwana Simba SC ninayemwomba anipangie kikosi cha leo ananipangia hiki je, kitatuokoa na aibu leo Dodoma?

Kila mwana Simba SC ninayemwomba anipangie kikosi cha leo ananipangia hiki je, kitatuokoa na aibu leo Dodoma?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Aishi Manula (Nisiyempenda )

2. Shomary Kapombe

3. Mohammed Hussein

4. Kennedy Juma

5. Mohammed Outarra (Nisiyemwamini)

6. Ishmael Sawadogo (aliyekosa Timu tokea February mwaka Jana 2022)

7. Kibu Denis (Nisiyemuelewa kabisa)

8. Nassoro Kapama (sijui hata nani alimsajili Simba SC)

9. Jean Baleke (Mgeni wa Ligi Ngumu na yenye Mabeki Masela wengi ya Bongo NBC Premier League)

10. Saido Ntibanzokinza (Fundi anayezeeka na Ubora wake na Bati lake la Kichwani analolipaka Supa Blaki)

11. Augustine Okra (Mchoyo namba Moja Simba SC nzima)

Wana Simba SC wenzangu mnaokiamini hiki Kikosi kuwa Kitashinda leo Usiku dhidi ya Dodoma Jiji FC hebu nishawishini nami GENTAMYCINE ambaye nina wasiwasi (hofu) Kubwa na Mchezo wa leo niwe na Imani kwani Mimi kila nikipima naona/nahisi kuwa leo Simba SC anatoka Sare au Suluhu au hata Kufungwa kabisa ila Ushindi utakuwa ni Finyu/wa Taabu sana.

Ninaitakia Kila la Kheri Simba SC leo.
 
Pira Biriani, Pira Kokoto, Pira Dubai
Tulia Tutapata Ushindi Chap Chap
 
1. Aishi Manula ( Nisiyempenda )

2. Shomary Kapombe

3. Mohammed Hussein

4. Kennedy Juma

5. Mohammed Outarra ( Nisiyemwamini )

6. Ishmael Sawadogo ( aliyekosa Timu tokea February mwaka Jana 2022 )

7. Kibu Denis ( Nisiyemuelewa kabisa )

8. Nassoro Kapama ( sijui hata nani alimsajili Simba SC )

9. Jean Baleke ( Mgeni wa Ligi Ngumu na yenye Mabeki Masela wengi ya Bongo NBC Premier League )

10. Saido Ntibanzokinza ( Fundi anayezeeka na Ubora wake na Bati lake la Kichwani analolipaka Supa Blaki )

11. Augustine Okra ( Mchoyo namba Moja Simba SC nzima )

Wana Simba SC Wenzangu mnaokiamini hiki Kikosi kuwa Kitashinda leo Usiku dhidi ya Dodoma Jiji FC hebu nishawishini nami GENTAMYCINE ambaye nina wasiwasi ( hofu ) Kubwa na Mchezo wa leo niwe na Imani kwani Mimi kila nikipima naona / nahisi kuwa leo Simba SC anatoka Sare au Suluhu au hata Kufungwa kabisa ila Ushindi utakuwa ni Finyu / wa Taabu sana.

Ninaitakia Kila la Kheri Simba SC leo.
Ondoa hofu Mkuu kwa Simba hii ushindi lazima
 
1. Aishi Manula ( Nisiyempenda )

2. Shomary Kapombe

3. Mohammed Hussein

4. Kennedy Juma

5. Mohammed Outarra ( Nisiyemwamini )

6. Ishmael Sawadogo ( aliyekosa Timu tokea February mwaka Jana 2022 )

7. Kibu Denis ( Nisiyemuelewa kabisa )

8. Nassoro Kapama ( sijui hata nani alimsajili Simba SC )

9. Jean Baleke ( Mgeni wa Ligi Ngumu na yenye Mabeki Masela wengi ya Bongo NBC Premier League )

10. Saido Ntibanzokinza ( Fundi anayezeeka na Ubora wake na Bati lake la Kichwani analolipaka Supa Blaki )

11. Augustine Okra ( Mchoyo namba Moja Simba SC nzima )

Wana Simba SC Wenzangu mnaokiamini hiki Kikosi kuwa Kitashinda leo Usiku dhidi ya Dodoma Jiji FC hebu nishawishini nami GENTAMYCINE ambaye nina wasiwasi ( hofu ) Kubwa na Mchezo wa leo niwe na Imani kwani Mimi kila nikipima naona / nahisi kuwa leo Simba SC anatoka Sare au Suluhu au hata Kufungwa kabisa ila Ushindi utakuwa ni Finyu / wa Taabu sana.

Ninaitakia Kila la Kheri Simba SC leo.
Huyo kocha kupiti hizi mechi naona style yake si kutandaza mpira, yaani Simba mechi ya juzi na leo mmepiga minazi hata goli lenyewe basi kipa na beki walitegeana.

Huyu kwake possession sio muhimu anachitoka timu ishinde hayo mengine badae kwa jinsi naona lile pira biriani kwake hamna hapa naliona pira dona.
 
Back
Top Bottom