Kila Mwanamke ni mrembo

Kila Mwanamke ni mrembo

M-bongotz

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2010
Posts
1,736
Reaction score
408
Kila mwanamke ni mrembo jamani notwithstanding shepu yake.
 

Attachments

  • big mamas.jpg
    big mamas.jpg
    26 KB · Views: 469
Accoprding to hiyo picha, nakubali ni kweli kila mwanamke ni mrembo.
 
Kila mwanamke ni kweli kabisa ni mrembo tatizo matunzo
 
wanawake wote warembo ila kuna wale warembo zaidi ya wengine
 
Mmojawapo Akianguka, Atanyanyuka kweli??!
 
Kweli Mungu ndiye muumbaji, wanaonekana ni wenye furaha kweli kweli, Funzo kwetu kujikubali tulivyo!
<input id="gwProxy" type="hidden"><!--Session data--><input onclick="jsCall();" id="jsProxy" type="hidden">
 
ni kweli kila mwanamke ni mrembo,nao pia ni warembo.nimependa wanavyojiamini na kujikubali walivyo lkn unene huo ni hatari kwa afya zao!
 
ni kweli kila mwanamke ni mrembo,nao pia ni warembo.nimependa wanavyojiamini na kujikubali walivyo lkn unene huo ni hatari kwa afya zao!

cheusi mamangala hayo ni matokeo ya chips za transformer kuku wa ARV na mayai ya maabara za wachina MUNGU hapo hayupo mwacheni MUNGU apumzike miuzembe yenu msimtwishe MUNGU. Hata bongo hapa wapo kulakula full time kama hana hindi la kuchoma la pilipili na ndimu ana karanga.tembelea YENU ubungo uone wanavyosunda michemsho kuku samaki ulimi wa ng'ombe mkia kwato za ng'ombe yaani ni balaa tupu sa hapo MUNGU katoka wapi. UZEMBE mtupu kudadeki
 
Back
Top Bottom