Kila mwanamke ninayemtongoza ananikataa

Wewe utakuwa unapiga punyeto....punyeto ukishaijua unatongoza wanawake kwa nyodo.
Nilikua Fundi zamani sana ila sasa najikaza sipigi
 
Kwamba nijiongeze
 
Usiangalie muonekano tu, tabia zinaweza zikawa zinakuangusha.
 
Hahahahaha hutageuka kichaa Mkuu bali huko ni kutoa nuksi na Totos zitaanza kukufukuzia weye kwa kasi ya kutisha 😜😜😜😜

BAK unataka nigeuke kichaa au
 
Daaah,mm sipo hivyo mkuu na sijasema mm domo zege.Domo zege unamjua kweli?unawezaje tongoza mademu zaidi ya 35 tena kwa confidence yote afu uwe domo zege
kuna wakati nacheka tu ila pole mkuu labda mwenyezi mungu anakuepusha na mabaya
 
Pole!
Mbona ni simple tu!
Kumuimbisha mwanamke huwa siongei nae maneno mengi hadi povu linanitoka.
Huwa natumia maneno matatu tu kumjulisha kuwa namhitaji halafu napotezea.
Siku nikimuhitaji namuita aje kiwanja, tunapiga stori mbili tatu kisha namshika mkono kuelekea chumbani. Mchezo unaisha.

Kimuonekano ni wa kawaida sana, ila ni mtanashati na ni mkimya kiaina. Kutokana na ukimya wangu na utanashati, mtaani huwa naonekana nina maringo, kumbe ndivyo nilivyo! Hakuna demu huwa anaruka. Jaribu na hii labda itakusaidia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…