Kila mwanamke wa kisasa ana ndoto ya kupitia stage hii

Kuna swali moja nalikumbuka "unapo muita yule malaya jinsia fulani kwani anafanya na mtu asiyekuwa malaya mwenzake"
Mkuu nikuulize!!!?

Ukiwa na funguo inayofungua kila kufuli unalojaribu kulifungua utaitupa au utaitunza?

Je, vipi kama una kufuli linalofunguliwa na kila aina ya funguo? utalitupa ama utaendelea kufungia mlango wako?

Kama una D moja kaongeze na ya pili kuelewa
 
Ugongaji ni sifa ya kiume.
Nikuulize swali una funguo inayofungua kila kufuli na milango.

Na kufuli linalofunguliwa na kila funguo.

Ipi itakufaa?
Hii ni analogy ya kijinga ambayo matokeo yake ni kuhalalisha wanaume kuwa wadangaji na kucheat eti funguo ...we ni funguo... unafungua nini...Kuna mtu ana kufuli...linafungwa na nini. 🤣Kama wewe huna maadili usimtegemee mwanamke wako awe na maadili hata siku moja.
 
Umejuaje mawazo ya kila mwanamke?
 
Mbwa haoi Paka lazima atamuoa Mbwa mwenzie na hakuna Paka Jike anaekubari kuolewa na Mbwa Dume

ephen_ chukua na hii
 
Unaandikaga vya maana ila hpa
umeandika rubbish.

Mimi ni mwanamke wa kisasq ila sijawahi kutamani upuuzi hata mmoja kwenye hio list yako.

Huyo unayemuongelea ni malaya mchafu mchafu wa Manzese coz hata malaya classic hawezi kufit hapo.

Heshimuni wanawake nyie viumbe.Kila saa kujifanya mko lab. mmegundua jambo jipya kutuhusu.
 
Equality haimaanishi tupo equal.
Hakuna sehemu kwenye jamii itamsifia Mwanaume bikra ila atapongezwa Mwanamke bikra.

Ukilielewa hili, umeelewa maisha.
 
Equality haimaanishi tupo equal.
Hakuna sehemu kwenye jamii itamsifia Mwanaume bikra ila atapongezwa Mwanamke bikra.

Ukilielewa hili, umeelewa maisha.
Sawa kafate bikra hao... Yaani nakuambia ukweli ukisema uchunguze kila mtu anavyoishi hapa duniani ..Kuna watu hawana kazi, hawana biashara, ila wanaishi nyumba za Kodi laki 5 monthly, geto Lina kila kitu, na halii njaa.. so kila mtu ashinde mechi zake Sheria za nchi si hazivunjwi... Ukitaka tuishi kama Iran hapa utaishia kubaka watoto wa miaka 6 na kuwaita wake zako
 
Nitakuuliza Swali : bado hujaolewa mpaka leo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…