Kila mwanaume anaetangaza kuniowa namuacha

Umetupiwa jini na shangazi yako! hivyo nitafute niweze kulitoa hilo jini! ni PM fasta maana ndio msaada wako...pia kumbuka kuvaa condom maana unabadili sana wanaume na usipo nitafuta haraka utaendele kubadili wanaume matokeo yake utaukwaa........
 
Umetupiwa jini na shangazi yako! hivyo nitafute niweze kulitoa hilo jini! ni PM fasta maana ndio msaada wako...pia kumbuka kuvaa condom maana unabadili sana wanaume na usipo nitafuta haraka utaendele kubadili wanaume matokeo yake utaukwaa........

Bahat nzur cna shangazi
 
Asanten wakubwa kwa ushaur wenu nlichoamua mi kuokoka na kutulia nakumuomba mungu anipe mume mwema ambae ntatulia nae.
 

kumbe unajua tatizo lako,kwanini usibadirike sasa?kaa ngojea kufa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…