kila neno kitu lazima kipatiwe kiswahili. hii ni sawa?

kila neno kitu lazima kipatiwe kiswahili. hii ni sawa?

2013

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2011
Posts
11,360
Reaction score
6,069
nimekuwa na shangazwa na mfumo uliopo tized kwamba kila teknolojia inatungiwa kiswahili chake, tena ni bora kingefuatisha ile lugha ya kigeni la hasha bali kina wanatafuta neno sijui kutoka kabila gani huko wanalipachika kuleta maana waitakayo huu si jui kama ni ustaarabu wa lugha?
mfano nimekutana na neno ngamizi ya kupakata na ,
Na ngamizi ya flat screen.napata shida kuelewa lengo lao nini hasa katika kutunga majina haya kama majina ya Kiswahili au pengine nimekurupuka bila kujua inawezekana sio kiswahili. Na lugha hii ina-asili ya wapi?
wat mitaani hatutumii hizi lugha na hatuzijui mi naona kama tunazidisha sana hapa
 
Lugha yeyote Duniani ina tabia na sifa ya kukua.....hata maneno kama "Chill out" ulikuwa huwezi kuyasikia kwenye viunga vya miji yao kama London,Glasgow n.k
Mie napendekeza njia nzuri ya kupata kiswahili cha vitu au bidhaa zinazotokana na maendeleo ya teknolojia ni kutohoa tu!
 
Back
Top Bottom