Kila nikiangaliahii picha kweli rafiki Yako ndio adui yako

Kila nikiangaliahii picha kweli rafiki Yako ndio adui yako

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Mzuka wanajamvi!

Ruto alimpigania Sana Uhuru. Na ni yeye alifanikisha Uhuru kuwa Rais mihula miwili. Baadaye ghafla tu Uhuru kamgeuka tu huyu humble gentleman presidential material na kujenga urafiki na mnafiki na adui ambaye alikuwa mstari wa mbele kuraka wafungwe the Hague. Raila atakuwa kamroga tu Uhuru.
hqdefault.jpg
 
Wakati wa yale matokeo ya kupikwa ya 2017, Uhuru alipewa choice, ama akubali kushindwa na Raila (which was true) au amtoe kafara rafiki yake kindakindaki.

Si unajua tena vile kiti cha urais kilivyo addictive hasa huko kwenu Afrika? Basi buana, mjamaa akafanya uamuzi wa kumgeuka rafiki yake, na kurudisha fadhila kwa Raila, ambaye wakati huo aliridhia kuwa mtulivu na kumpisha atawale his second term.
 
Back
Top Bottom