Kila nikifanya ngono na mwanamke yeyote, asubuhi lazima alalamike maumivu ya kizazi

Kila nikifanya ngono na mwanamke yeyote, asubuhi lazima alalamike maumivu ya kizazi

Abdalah Lyimo

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2014
Posts
269
Reaction score
153
Wakubwa naileta hii mada hapa mbele yenu kwa atakaye elewa na atakaye kua anafahamu chanzo cha tatizo hili na tiba yake naomba anisaidie kwakweli sijisikii vizuri kwa kila siku mimi kulalamikiwa nahitaji kutulia na mwanamke mmoja ila inashindikana kwa sababu hizo msaada wenu wakubwa nahitaji kutambua tatizo hili ninini kwani sio kwa mwanamke mmoja kila ninaye fanya naye Mapenzi hali hii hua inamtokea lazima atasema Kizazi kinamuuma.
 
Mkuu kwa hali ya sasa si wewe tu, ni idadi kubwa ya wanawake wa sasa ukiwa nao kwenye 6*6 baada tu ya mambo flani lazima aeleze kuhusu ugonjwa wa tumbo. Hasa la chini ama vinginevyo, mwanzo nilidhani tatizo nasababisha mm lakini kadri siku zinavyozidi nagundua ya kwamba ni wanawake wengi ambao wanasumbuliwa na tumbo hasa baada ya kufanya mambo hayo. Ikiwa wapo kwenye huu uzi watatusaidia kuelewa chanzo cha tatizo hilo.
 
Mkuu inaonesha unatumia nguvu sana ktk kufanya tendo hili pendwa badala ya kutumia akili na ustaarabu wa kumridhisha mwenzi wako, badili mbinu usiwe unamuingilia mwenzio kama unatwanga mpunga
Daaaaah yawezekana Mkuu moja kati thinkers nilowakubar kwa Majibu yanayoendana na swali langu ni wewe bigup mkuu acha niya kusanye mawazo mengi zaid mkuu
 
Mkuu kwa hali ya sasa si wewe tu, ni idadi kubwa ya wanawake wa sasa ukiwa nao kwenye 6*6 baada tu ya mambo flani lazima aeleze kuhusu ugonjwa wa tumbo. Hasa la chini ama vinginevyo, mwanzo nilidhani tatizo nasababisha mm lakini kadri siku zinavyozidi nagundua ya kwamba ni wanawake wengi ambao wanasumbuliwa na tumbo hasa baada ya kufanya mambo hayo. Ikiwa wapo kwenye huu uzi watatusaidia kuelewa chanzo cha tatizo hilo.
Daaaaah Pa1 sana Mkuu inawezekana ni wao acha tuwasikilize kama wapo wenye hilo tatizo
 
umefanya na wangapi mkuu, maana isije kua sampuli moja tu tena ya mtaani kwako peke yake.. labda endelea kujaribu na wa mikoa mingine, shape tofauti, rangi tofauti, wakizungu labda.. ili uhakikishe kua tatizo ni wewe au wao!
 
Pima
Wakubwa naileta hii mada hapa mbele yenu kwa atakaye elewa na atakaye kua anafahamu chanzo cha tatizo hili na tiba yake naomba anisaidie kwakweli sijisikii vizuri kwa kila siku mimi kulalamikiwa nahitaji kutulia na mwanamke mmoja ila inashindikana kwa sababu hizo msaada wenu wakubwa nahitaji kutambua tatizo hili ninini kwani sio kwa mwanamke mmoja kila ninaye fanya naye Mapenzi hali hii hua inamtokea lazima atasema Kizazi kinamuuma.
Pima urefu wa chombo chako. Kama kinazidi urefu wa kawaida itakuwa sababu . Basi tafuta mwenzi ambaye tumbo lake lnaweza pokea ujazo wa chombo chako. Vinginevyo tumia kwa uangalifu chombo chako.
 
Wakubwa naileta hii mada hapa mbele yenu kwa atakaye elewa na atakaye kua anafahamu chanzo cha tatizo hili na tiba yake naomba anisaidie kwakweli sijisikii vizuri kwa kila siku mimi kulalamikiwa nahitaji kutulia na mwanamke mmoja ila inashindikana kwa sababu hizo msaada wenu wakubwa nahitaji kutambua tatizo hili ninini kwani sio kwa mwanamke mmoja kila ninaye fanya naye Mapenzi hali hii hua inamtokea lazima atasema Kizazi kinamuuma.
Mwanamke yoyote yule duuu..Mkuu ninawasiwas na afya yako....
 
Back
Top Bottom