NothinGold
Member
- Nov 2, 2019
- 56
- 216
- Thread starter
-
- #161
Pole ndugu. Huyu mwanamke ulimchukulia wapi? Amelelewa katika mazingira gani? Kabila Gan? Dini? Funguka tuponye vijana wanaopenda kuoa bila kuchunguza tupone
Duuu, haya bwana ndoja tu nifunguke. Originally ni watu wa kigoma (Wamanyema) ila yeye kazaliwa tanga maana maisha ya wazazi wao kwa muda mrefu wameishi tanga, baba yao alikuwa driver wa bus, ila nahisi kuna mzazi Mmoja ana asili ya kitusi maana hata yeye ana sura ya kitusi kwa mbali.
Hata msichana Wetu wa kazi wakati huo alikuwaga namfananisha na demu Mmoja wa ile kwaya ya Rwanda Ambassadors of Christ sijui, walioimba "kwetu pazuri"
Mama yake mpole sana sana, ila sijui labda kwa vile sijawai kaa naye sana ila hata kwa muonekano ni mpole sana. Hata huyo mwanamke kimuonekano ni mpole.
Dini ni mkatoliki, ila mimi ni mlutheri na baada ya kuanza kuishi pamoja alikuwa anasali Lutheran.
Walipokuwa wanaishi sio uswahilini, baba yake alifariki akiwa bado Mdogo, na yeye walizaliwa mapacha ila Bahati mbaya Pacha mwenzake alifariki.
Inatosha nadhani mkuu