monotheist
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 830
- 1,449
Ni mara yangu ya kwanza kutumia pinduoduo nimeshamaliza taratibu zote shida ipo kwenye kujaza address
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikua kichina hapo nimeitafsiriAddress iandike kichina
Basi wacheck silent ocean. Ila kama unatumia meli maanake mzigo wako utaupokea January mwisho au mwanzo wa febIlikua kichina hapo nimeitafsiri
Mkuu si naskia ni mwezi mmoja tuBasi wacheck silent ocean. Ila kama unatumia meli maanake mzigo wako utaupokea January mwisho au mwanzo wa feb
mkuu hio ni web au app, na unapo search item fulani, let say kiatu, kwani ni mpaka uandike kichina...!?Ilikua kichina hapo nimeitafsiri
We endelea kusikiaMkuu si naskia ni mwezi mmoja tu
Tumia Unique Air Cargo kama vipi, afu jana address kama ilivo usii translate..Ni mara yangu ya kwanza kutumia pinduoduo nimeshamaliza taratibu zote shida ipo kwenye kujaza address View attachment 2804217View attachment 2804217
Kaka vp nimeona uliandika mwaka jana uzi Wa pinduo duo, kaka mm nataka kuagizia PC ya HP china kwa pinduo duo ni uwakika au Bora ninunue ebay au amazon Yan bora nichukue lilipo soko la hp maana nataka HP envy ile touchscreen na pia ni 360rotation corei5 SSD 225gb NB: 360 rotation and touchscreen ilabudget yangu ndogo sasa km 350k uko ebay au pinduo au amazo nasikia bei kitonga kdg sasa naona niagize us maana nasikia ndyo za zalishwa uko ila sijui kutumia ebay Wala amazon Wala agent napata vp kwabongo maana sijui nianzie wap nataka nijue kupa hii PC hp kwabei nzuri nitapa kwa app gani then nitatumia agent gan kwa Wa gharama nafuu then nitatumia njia gani malipo ambayo sitapata makato makubwa inshort mm ni nakubalia ushauri maana nimekufata inbox msaada Wa kimawazo mkuuNi mara yangu ya kwanza kutumia pinduoduo nimeshamaliza taratibu zote shida ipo kwenye kujaza address View attachment 2804217View attachment 2804217
Agent wa ndege from US nenda Instagram jaribu kuwacheki hawa jamaa wanaitwa Astraline Logistic au wengine kama sikosei wanaitwa MK Logistic. Silent Ocean wana ofisi pia US but i'm not sure kama wanasafirisha kwa ndege.Kaka vp nimeona uliandika mwaka jana uzi Wa pinduo duo, kaka mm nataka kuagizia PC ya HP china kwa pinduo duo ni uwakika au Bora ninunue ebay au amazon Yan bora nichukue lilipo soko la hp maana nataka HP envy ile touchscreen na pia ni 360rotation corei5 SSD 225gb NB: 360 rotation and touchscreen ilabudget yangu ndogo sasa km 350k uko ebay au pinduo au amazo nasikia bei kitonga kdg sasa naona niagize us maana nasikia ndyo za zalishwa uko ila sijui kutumia ebay Wala amazon Wala agent napata vp kwabongo maana sijui nianzie wap nataka nijue kupa hii PC hp kwabei nzuri nitapa kwa app gani then nitatumia agent gan kwa Wa gharama nafuu then nitatumia njia gani malipo ambayo sitapata makato makubwa inshort mm ni nakubalia ushauri maana nimekufata inbox msaada Wa kimawazo mkuu
Nataka kwa ocean gharama za ndege sina mmAgent wa ndege from US nenda Instagram jaribu kuwacheki hawa jamaa wanaitwa Astraline Logistic au wengine kama sikosei wanaitwa MK Logistic. Silent Ocean wana ofisi pia US but i'm not sure kama wanasafirisha kwa ndege.