Kila nikikumbuka visa vya Mama Mwenye Nyumba, Kanyenye (Tabora) sirudi tena

Gonorrhea haiishi kwa mtindo huu.,, Magonjwa Mungu ambayo alishayafuta kwenye ramani ya dunia watu kama nyie ndo mnayarudisha..!!!
 
kweli? haya ntakuona siku hiyo..utafanya kipi na kipi...maana nliona sehemu unasifiwa sana. kuwa una mashamsham sana bibie
Ghkeee. Nasifiwa mie??? Wapi huko.we GuDume hebu wacha uongo weweeeee.
Wapi hukooo?
 
mashemeji zetu nyinyi,sisi walambo
Hahahahaa sitasahau siku moja tukutuku tuko na wasichana wa girls tunafuata maji.aisee walambo walitutoa ndukii[emoji23] [emoji23] [emoji23] . I missed those days lol..
 
Hahahahaa sitasahau siku moja tukutuku tuko na wasichana wa girls tunafuata maji.aisee walambo walitutoa ndukii[emoji23] [emoji23] [emoji23] . I missed those days lol..
Hii story niliwahi kuisikia, sema kipindi chetu tulipokuwa kona za uboizin maji tulikuwa tunafuata kariakoo, mwanzoni nilikuwa lofa kinoma namwaga maji njiani ili nirudi kariakoo kuchota maji huku nikisindikiza woso
 
Sio kweli
 
Dada watu watakunyima pesa lakini si maneno. Nipatie namba yako ya simu basi nikusimulie nliyoambiwa juu yako. Hii dunia haina siri hata kidogo. Ni pm
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]badilisha avatar kwanza
 
mama naomba unipende kama nilivyo mi msela...usinikatae. avatar yangu isikutishe mama...utafurah mi nakwambia utafurahia kweli. ni pm basi. mimi i mgumu usoni lakini kimatendo maeneo flan ni bishoo. nicheck basi huko pembeni tumalizane...sisi sote ni kitu kimoja, haina haja kunyimana maoni na ushauri.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]badilisha avatar kwanza
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] njoo wewe pm lakini na share Acc na babe wangu B Kubwa..
 
haina shida wewe share naye acc nami nashare naye wewe.... dunia ya sasa ni ya kushare kitu chako peke yako ni moyo tu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] njoo wewe pm lakini na share Acc na babe wangu B Kubwa..
 
haina shida wewe share naye acc nami nashare naye wewe.... dunia ya sasa ni ya kushare kitu chako peke yako ni moyo tu.
I know sharing is caring but not to zat extenti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…