Kila nikikutana nae kimapenzi tu basi siku inayofuata anaingia kwenye siku zake

Kila nikikutana nae kimapenzi tu basi siku inayofuata anaingia kwenye siku zake

mens12

Member
Joined
Apr 8, 2022
Posts
69
Reaction score
143
Habari wana jf, poleni na majukumu. Nimefikwa na jambo linalo nitatiza ikabidi niwakimbilie kupata msaada.
Hivi karibuni nimepata mwanamke ambaye ameonesha upendo mkubwa na kunijali sana ila kuna kitu hakiko sawa naninahitaji ushauri au tiba hasa.

Tatizo:
Kila nikikutana nae kimapenzi tu basi siku inayofuata anaingia kwenye siku zake hata kama anasiku mbili toka amalize siku zake.

Na tukiwa kwenye tendo huwa ananiambia nisiende kwa kasi au rudi nyuma kidogo hasa kama akiwachali au akiwa amepiga magoti na akiinama kwenye tendo, akidai namuumiza.
Niko njia panda naomba msaada waungwana.
Asante!
 
Habari wana jf, poleni na majukumu. Nimefikwa na jambo linalo nitatiza ikabidi niwakimbilie kupata msaada.
Hivi karibuni nimepata mwanamke ambaye ameonesha upendo mkubwa na kunijali sana ila kuna kitu hakiko sawa naninahitaji ushauri au tiba hasa.
Tatizo: Kila nikikutana nae kimapenzi tu basi siku inayofuata anaingia kwenye siku zake hata kama anasiku mbili toka amalize siku zake. Na tukiwa kwenye tendo huwa ananiambia nisiende kwa kasi au rudi nyuma kidogo hasa kama akiwachali au akiwa amepiga magoti na akiinama kwenye tendo, akidai namuumiza.
Niko njia panda naomba msaada waungwana.
Asante!
Mchango suga hiyo tafuta tiba
 
We jamaa jikague vizuri may be you have something like drilling machine,chain saw etc sio bure unachakata mwili wa mwenzako au kama unabisha tuma picha tukukague
 
Homon zake zimechenga tu kidogo mwambie atafute mizizi ya mpera na mizizi ya mbaazi akatekate achanganye achemshe anywe kikombe 1 ×2 kwa sku 3 tu ulete majbu
 
Back
Top Bottom