Kila nikimeza vidonge naviskia kama vimekwama kifuani kwa sikuu kadhaa!

Kila nikimeza vidonge naviskia kama vimekwama kifuani kwa sikuu kadhaa!

Uncle Jei Jei

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2011
Posts
1,684
Reaction score
2,156
Hili limekuwa tatizo kwangu, mwanzon nilion kawaida lakin cku zilivyozid kwenda nikarud kwa dactari, naye akanipa jibu jepesi kuwa ni uoga wa dawa so its just psychological problem! Ila kwa kweli hii hali huwa inanitesa kila nimezapo dawa kwan huninyima raha mda wote navyozisikia kama zmekwama kiasi kwamba had hunilazm kukatiza dozi!,hali hudum kwa siku 3 had 5 baada ya kumaliza dawa! Tafadhali, kwa anayefaham ni tatizo gani na naweza kuliepukaje! Kuhusu maji, nakunywa YAKUTOSHA KABISA ILA WAPI! msaada wenu tafadhali!
 
we hilo nitatito la kisaikolojia dokta laikuwa sahihi sema labda hakukupa mbinu za kuondokana nalo. kunanjia kazaa za kushinda uoga au kuvunja tabia hivyo jaribu yafuatayo
1.ekszosheni(nimeshindwa kwa kiingereza) hapa mtu ana jaribu kuacha tabia au kuvunja woga kwa kulifanya jambo hilo mara nyingi mpaka limchoshe au alizoee hapo alimwogopeshi tena, so nakushauri tafuta karanga uwe unakunywa kama dawa yaani karanga funda la maji karanga funda la maji sijui ufanye kwa muda gani sababu sina experience ila jaribu labda mwezi, fanya kwa jinsi utaona haikuuzi.
2. njia nyingine ya kuvunja uwoga/tabia ni substitution yaani tafuta tabia au njia mbadala sasa nakushauri uwe una tafuna dawa badala ya kumeza ila ujue kuna dawa zingine hazitakiwi kuwa chewed
pengine ungesema kama maishani uwewahi kukabwa na dawa au kitu chocote maana inaweza ikwa stimulus generolaizesheni at work.
 
we hilo nitatito la kisaikolojia dokta laikuwa sahihi sema labda hakukupa mbinu za kuondokana nalo. kunanjia kazaa za kushinda uoga au kuvunja tabia hivyo jaribu yafuatayo
1.ekszosheni(nimeshindwa kwa kiingereza) hapa mtu ana jaribu kuacha tabia au kuvunja woga kwa kulifanya jambo hilo mara nyingi mpaka limchoshe au alizoee hapo alimwogopeshi tena, so nakushauri tafuta karanga uwe unakunywa kama dawa yaani karanga funda la maji karanga funda la maji sijui ufanye kwa muda gani sababu sina experience ila jaribu labda mwezi, fanya kwa jinsi utaona haikuuzi.
2. njia nyingine ya kuvunja uwoga/tabia ni substitution yaani tafuta tabia au njia mbadala sasa nakushauri uwe una tafuna dawa badala ya kumeza ila ujue kuna dawa zingine hazitakiwi kuwa chewed
pengine ungesema kama maishani uwewahi kukabwa na dawa au kitu chocote maana inaweza ikwa stimulus
generolaizesheni at work.
sorry i normally prefer retrospective quality control
 
Thanks @Red giant, naona njia ya pili inaweza kufaa, "substitution" hasa labda kwa kuziyeyusha kwanza kwenye maji! Na pia kuna watu husema kuwa yawezekana ni minyoo isiyoendana na dawa husika ambayo hupanda juu baada ya kumeza dawa na hivyo kuwa kama imekaba kwenye njia ya chakula (hii ni kulingana na maelezo ya dada mmoja muuzaji wa duka la dawa.) je, kuna ukweli hapa??
 
hili la minyoo kupanda sidhani kama nikweli, kwa kawaida minyoo ikiwa irritated huwa inamove downward, ila ngoja tuwasubiri wadau. njia ya pili ni nzuri ila muhimu ni usije uka yeyusha au kutafuna dawa zisizo takiwa ku yeyushwa (enteric coated). ukioona ina kusumbua jaribu ya kwanza inaweza onekana ya kuchekesha ila inaweza kuhelp
 
Back
Top Bottom