Eng. Smasher
JF-Expert Member
- Nov 13, 2010
- 745
- 23
- Thread starter
-
- #21
Kuna mtu mmoja alisema humu kuwa ingekuwa kama Bluetooth tungekuwa tunaingia kinyemela, tukamkatalia maana nayo lazima mtu afungue.
sasa hata hili ni two way akubali mweze ku DO, na kama mzee anasimama that sudden, bado labda hizo REVOLA MAANA NI WEWE TU!
huo ni ujana na hizo ndio adha za ujana.ila baada ya miaka michache tu hali itabadilika.kwa sasa fanya mazoezi ili uwe unachoka vya kutosha ili akili isiende kabisa kwenye hayo mambo.pia kwa kujisitiri zaidi vaa nguo nzito kidogo ndani.e.g waweza vaa boxer plus chupi ili kukomesha jamaa hata akisimama isije ikawa mushkeli kwa waliombele yako
khatari kama pili pili we hujioni kwani??????
Halafu kwa kifupi wengine si wapita njia, ni wategaji na vijinguo na mara nyingine watu wa kawaida tu!Ushauri wangu acha kutamani wapita njia oa upate FULL DOZI na hako ka ugonjwa kataisha ila kama utaendekeza mwili tegemea mzee H.I. V kubisha hodi kwa spidi
Ushauri wangu acha kutamani wapita njia oa upate FULL DOZI na hako ka ugonjwa kataisha ila kama utaendekeza mwili tegemea mzee H.I. V kubisha hodi kwa spidi
akisema pili pili mimi simwelewi maana kila chakula lazima pilipili lazima iwepo! labda aseme kama bangi!Pili pili nayo ni hatari mbona mnakula kama kawa coz haina madhara!!!
Ushauri wangu acha kutamani wapita njia oa upate FULL DOZI na hako ka ugonjwa kataisha ila kama utaendekeza mwili tegemea mzee H.I. V kubisha hodi kwa spidi
Wanaume bwana.... are very funny..........people.
Wanaume bwana.... are very funny..........people.
Duh! Umeona hiyo nayo ni funny??!!
Kuna ticha 1 aliwahi kutegwa na denti, jamaa akasimama si mchezo ikabidi Ticha atoke class kuepusha aibu!!
Huwezi kujua kuwa jamaa kasimama maana ikitokea hivyo mara moja pozi hutafutwa kupotezea hali hiyo.teh teh anasimama kama tunavyosimama bendera ya taifa ikiwa inapandishwa??lol...ndio uanaume....jitahidi kutowaza ngono muda wote....jifunze kuwa na self discipline sie wanawake hatupendi kuwa na mwanaume anayesimamisha kila wakati..aka kib...lo dinda..utashangaa unabwagwa bwaga hovyo na wadada na usijue tatizo ni nini...:teeth:
teh teh anasimama kama tunavyosimama bendera ya taifa ikiwa inapandishwa??lol...ndio uanaume....jitahidi kutowaza ngono muda wote....jifunze kuwa na self discipline sie wanawake hatupendi kuwa na mwanaume anayesimamisha kila wakati..aka kib...lo dinda..utashangaa unabwagwa bwaga hovyo na wadada na usijue tatizo ni nini...:teeth:
pole
nikawaida ..urijari uo bt jaribu kuwa na demu wako...au km unaye uwe unamalizana nae mzigo kamili siyo mnapena nusu nusu ukitoka nje ukiona paja kitu inastand up....PUNGUZA KUWAZA NGONO...wewe ukiona mapaja tu akili yako unaiamisha unaipeleka kuleeeeeee...jaribu kujicontrolll...POLE
Mwingine akijaribu kupunguza kuwaza ngono ndio anajikuta anawaza NGONO
wanaume bwana.... Are very funny..........people.
Wana JF habari za weekend?
Mimi ya kwangu ilikuwa bomba lakini ninaomba msaada wenu kwa hili!
Mimi nina tatizo kabwa huwa linanisumbua ingawa sio mara kwa mara coz huwa linatokea mara mojamoja sana!
Kuna baadhi ya siku huwa jamaa ha2lii ndani ya underwear coz huwa anasimama pindi 2 aonapo kiumbe mrembo kavaa nguo ya kutega(I mean skirt fupi na Matiti kuacha wazi)!!
Kuna wakati hiyo hali hainitokei kabisa hata akipita kiumbe wa namna gani na kavaa nguo ya aina yoyote!!!
Jamani naomba mawaidha yenu huu ni ugonjwa au nini kinanisumbua na kuleta hii hali ndani ya mwili wangu??!!