Nyoka kibisa
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 568
- 1,507
Wadau nimekuwa na tataizo la muda kidogo na nimeshakwenda kwenye hizi hospital zetu za wilaya kulingana na hali yangu tatizo halijajulikana kwa kweli.
Kila nikitumia chai ya rangi hasa nikiweka majani baada ya kunywa lazima tumbo liniume kama dk 15 hadi 30 baada ya hapo linapoa kabisa na kuuma inakuwa haiumi saaana inauma kidogo kidgo naombeni msaada kuwa huu ni ugonjwa gani unaninyemelea maana ni la muda kdgo.
Kila nikitumia chai ya rangi hasa nikiweka majani baada ya kunywa lazima tumbo liniume kama dk 15 hadi 30 baada ya hapo linapoa kabisa na kuuma inakuwa haiumi saaana inauma kidogo kidgo naombeni msaada kuwa huu ni ugonjwa gani unaninyemelea maana ni la muda kdgo.