Nyoka kibisa
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 568
- 1,507
ahsante bro but kulingana na mazingira yangu ni lazima ntakumbana tu na chaiPole mkuu. Kama majani yanakuumiza kwani ni lazima unywe chai?
Nilichomaanisha ni kuwa tumbo lako lina react kila unapotumia chai sasa kwanini usitafute alternative ya chai?ahsante bro but kulingana na mazingira yangu ni lazima ntakumbana tu na chai
Hilo tumbo lina kuumaje? lina nyongorota au kama lina jaa gesiWadau nimekuwa na tataizo la muda kidogo na nimeshakwenda kwenye hizi hospital zetu za wilaya kulingana na hali yangu tatizo halijajulikana kwa kweli.
Kila nikitumia chai ya rangi hasa nikiweka majani baada ya kunywa lazima tumbo liniume kama dk 15 hadi 30 baada ya hapo linapoa kabisa na kuuma inakuwa haiumi saaana inauma kidogo kidgo naombeni msaada kuwa huu ni ugonjwa gani unaninyemelea maana ni la muda kdgo.
yaan linauma kidg kidg saana haliumi kwa nguvu wala halisumbui sana