Kila nikipata mpenzi mpya anatumia mkono wa kushoto!

Kila nikipata mpenzi mpya anatumia mkono wa kushoto!

kiparah

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2010
Posts
1,173
Reaction score
117
Nimekuwa najiuliza, lakini sipati jibu. Mpenzi wangu wa Primary alikuwa Mashoto, wa A Level alikuwa Mashoto, then huyu wa sasa naye ni Mashoto, hii imekaaje? Sijui nitaoa Mashoto?
 
basi mambo yako yote yatakaa kushokushoto tu.................kacheck nyota yako kwa mtaalamu
 
tehee .....tehe..... acha uzushi! mikono inatuweka mjini hiyo ala! ila umeanza mapema toka primary?
 
Nimekuwa najiuliza, lakini sipati jibu. Mpenzi wangu wa Primary alikuwa Mashoto, wa A Level alikuwa Mashoto, then huyu wa sasa naye ni Mashoto, hii imekaaje? Sijui nitaona Mashoto?

KWani kuna shida gani?
Does it Matter?
Most of them can eat by using the right hand and can write by using both.
be happy man!
 
Nimekuwa najiuliza, lakini sipati jibu. Mpenzi wangu wa Primary alikuwa Mashoto, wa A Level alikuwa Mashoto, then huyu wa sasa naye ni Mashoto, hii imekaaje? Sijui nitaona Mashoto?
kaka mkubwa hapo kwenye red sijakuelewa.
 
Big Up
Nimesoma na watu wanaotumia kushoto ni VIPANGA darasani

Inaelekea kaka unajua kuchagua

Hongera sana
 
mnapotongozana hauangalii wanatumia mkono gani? Halafu hata akitumia mashoto kuna nini cha ajabu?
 
East, west, left or right are just direction.

Stay cool and enjoy life. After all it is very short. It may end when its at its sweetest.
 
Hahaha na nanhii imekaa kushoto..vp kiuno kinacheza au nacho left tu..hahahah bytheway,nothng z wrng wth that..
 
Back
Top Bottom