Kila nikipata mpenzi tunakaa kidogo tu tunaachana

Kila nikipata mpenzi tunakaa kidogo tu tunaachana

Huwapi hela Acha uongo na kama unawapa basi ni zile zinazobaki baada ya Kubeti....
Hivi unaijua nguvu ya laki na dinner ya beef la mbuzi???
Kwa hivi vitoto vya 2000 ungekua umeoa muda au umefikisika
Huwezi amini pesa nmetoa sana hata hazisaidii
 
Huwapi hela Acha uongo na kama unawapa basi ni zile zinazobaki baada ya Kubeti....
Hivi unaijua nguvu ya laki na dinner ya beef la mbuzi???
Kwa hivi vitoto vya 2000 ungekua umeoa muda au umefikisika
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kila nikipata mpenzi tunakaa kidogo tu tunaachana, hata kama namjali kwa pesa, kumjulia hali mara kwa mara kutoka nae ( kumtoa out) yaani kwa kila binti ninaempata hata nimtendee wema kiasi gani lazima aniache tu
Mnabadilisha utamuduni wa Kiafrika, nafata mifumo ya kishetani ya kutafuta "wapenzi".

Waulize bibi zako walioana vipi na babu zako.
 
Back
Top Bottom