doctor mwanafunzi
Member
- Jun 16, 2024
- 45
- 56
😂😂😂😂😂😂😂Tatizo lako humshukuru Rais Samia pale unapopata mpenzi
Huwezi amini pesa nmetoa sana hata hazisaidiiHuwapi hela Acha uongo na kama unawapa basi ni zile zinazobaki baada ya Kubeti....
Hivi unaijua nguvu ya laki na dinner ya beef la mbuzi???
Kwa hivi vitoto vya 2000 ungekua umeoa muda au umefikisika
🤣🤣 nipo clear mzee sina hata kovuAu una chongo mkuu? Kama huna na una hela kaoge maji ya bahari😀
[emoji23][emoji23][emoji23]Huwapi hela Acha uongo na kama unawapa basi ni zile zinazobaki baada ya Kubeti....
Hivi unaijua nguvu ya laki na dinner ya beef la mbuzi???
Kwa hivi vitoto vya 2000 ungekua umeoa muda au umefikisika
Anawapa vitita vya buku ten kwanini wasikimbie, ukute na show mbovuuuPole sana muda mwingine pesa sio kila kitu kwenye mahusiano
Mnabadilisha utamuduni wa Kiafrika, nafata mifumo ya kishetani ya kutafuta "wapenzi".Kila nikipata mpenzi tunakaa kidogo tu tunaachana, hata kama namjali kwa pesa, kumjulia hali mara kwa mara kutoka nae ( kumtoa out) yaani kwa kila binti ninaempata hata nimtendee wema kiasi gani lazima aniache tu
Mapenzi ni life force mkuu sisi wahindu tunaita Prana, uwezo wa juu wa binadamu umejificha kwenye mapenziMnapata wapi huo muda wa kuwaza mapenzi kila wakati aisee?[emoji848]
Mapenzi yapo overrated sana.
Pole, pata mrejesho Kwa wanao kuacha ili usiachike tenaKila nikipata mpenzi tunakaa kidogo tu tunaachana, hata kama namjali kwa pesa, kumjulia hali mara kwa mara kutoka nae ( kumtoa out) yaani kwa kila binti ninaempata hata nimtendee wema kiasi gani lazima aniache tu
Cheki afya ya kinywa na menoKila nikipata mpenzi tunakaa kidogo tu tunaachana, hata kama namjali kwa pesa, kumjulia hali mara kwa mara kutoka nae ( kumtoa out) yaani kwa kila binti ninaempata hata nimtendee wema kiasi gani lazima aniache tu