Kila nikipika naungua

lumumba wamejaa lakini nataka kutoka upande wa Ufipa kinondoni maana nasikia majukumu ya ndoa wanayajua
Wataka ugomvi Na vidume wa ukawa sio? Sharti LA kwanza lazima uongoke uvae uzalendo waweza kuwa mwanafamilia
 
Eli79 hiyo Picha ya kwanza ndo Inashikwaje nipe maelezo kidogo
Hiyo inabana sufuria tu dada, ewe unashika kwenye mishikio, hivyo kama unapika sembe/dona ni kwa raha zako.

Angalia we mtanga usikimbiwe na bwana kisa mikono migumu ukimshika unamkwaruza[emoji12] [emoji12]
 
Hiyo inabana sufuria tu dada, ewe unashika kwenye mishikio, hivyo kama unapika sembe/dona ni kwa raha zako.

Angalia we mtanga usikimbiwe na bwana kisa mikono migumu ukimshika unamkwaruza[emoji12] [emoji12]
Sasa wanielekeza huku wanizodoa kaka vipi? Natafuta pesa sasa hivi acha wakimbie tu,
 
Samahani lakini wewe ni mwanaume au mwanamke kabla sijatoa ushauri
 
Unaonekana ulidekezwa sana maana mie nimeanza kupika toka darasa la tano.Ila jitahidi kila siku uwe unapika na upende kupika utaacha kuungua[emoji12]
Yaani sijui kudekezwa nini bibie, nadhan labda kutopika Kila Mara km ulivyosema, nitajitahidi kufanya hivyo
 
Aisee!
mi nilifikiri wewe ni mwanaume kumbe ni mwanamke! 'jitahid uwe unapika mara kwa mara utazoea na hutoungua tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…