johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kwa wanaojua historia ya kandanda yetu hasa Simba na Yanga watakumbuka michezo ya akina Murtaza Dewji wa Pan African, Abbas Gulamali wa Yanga na Azim Dewji wa Simba.
Hawa Simba waliocheza robo fainali ya CAF nini kiliwatokea?
Mechi iliuzwa?
Ngachoka kabisa!
Hawa Simba waliocheza robo fainali ya CAF nini kiliwatokea?
Mechi iliuzwa?
Ngachoka kabisa!