Kila siku mabaraza na vikao vinavyoitwa vya Demokrasia lakini vitendo hakuna

Kila siku mabaraza na vikao vinavyoitwa vya Demokrasia lakini vitendo hakuna

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Hawa wadau wanaoitwa wadau wa mabaraza ya demokrasia tangu 2021 wao ni vikao tu. Leo wako Dar kesho Dodoma keshokutwa Arusha.

Kwa miaka miwili hatujaona impact wanazunguka tu kama mpira wa kona.

Kwa kuwa wao ndio wenye Nchi waache kujisumbua tu.

Swala la demokrasia ni gumu kwao.

Wafanye vile wanavyotaka.
 
Kaa ukijua CCM hawawezi kuleta katiba mpya, hawawezi kuleta chaguzi huru, na hatuwezi kuwaondoa kwa nguvu ya kupiga kura.

Bila external force lazima tusahau kuwaondoa CCM madarakani, maana wanajua wakileta katiba mpya ndio mwisho wao, nawao washapanga kututawala vizazi na vizazi.

Watanganyika na wanzanzibari tuamke !
 
Kaa ukijua CCM hawawezi kuleta katiba mpya, hawawezi kuleta chaguzi huru, na hatuwezi kuwaondoa kwa nguvu ya kupiga kura.

Bila external force lazima tusahau kuwaondoa CCM madarakani, maana wanajua wakileta katiba mpya ndio mwisho wao, nawao washapanga kututawala vizazi na vizazi.

Watanzania tuamke !
Huenda ukawa sahihi
 
Mbinu za kupoteza muda, hapa ndio hua naelewa kuwa nchi hii angalau CDM wanajielewa. Imagine miaka miwili ya vikao na mikutano ya matamko yasiyo na matunda

Hakuna sheria hata moja iliyobadilika. Leo uchaguzi mdogo Mbarali unasimamiwa na tume ileile. Tena rais yuko bize kuteua na watu wapya kwenye tume. Kuna la maana hapo??
 
Mbinu za kupoteza muda, hapa ndio hua naelewa kuwa nchi hii angalau CDM wanajielewa. Imagine miaka miwili ya vikao na mikutano ya matamko yasiyo na matunda

Hakuna sheria hata moja iliyobadilika. Leo uchaguzi mdogo Mbarali unasimamiwa na tume ileile. Tena rais yuko bize kuteua na watu wapya kwenye tume. Kuna la maana hapo??
Umeonaae
 
Mbinu za kupoteza muda, hapa ndio hua naelewa kuwa nchi hii angalau CDM wanajielewa. Imagine miaka miwili ya vikao na mikutano ya matamko yasiyo na matunda

Hakuna sheria hata moja iliyobadilika. Leo uchaguzi mdogo Mbarali unasimamiwa na tume ileile. Tena rais yuko bize kuteua na watu wapya kwenye tume. Kuna la maana hapo??
Hapa ndio utajua wapinzani halisi ni akina nani
 
Huenda ukawa sahihi
Yani hao washajipanga kututawala, wanawekena madarani kiundugu.

Bila ya watanganyika na wazanzibar kuungana kuwatoa watanzania madarakani CCM itakaa milele.

Watanzania ni watu wachache tu, wenye maslahi nayo ndio maana Mama anatokea kisiwani na still bado hatoipa uhuru kamili, na nguvu ya kufanya hivyo anayo ila anamaslahi nayo, usishangae awamu ijayo mtoto wake kuwa waziri wa jamhuri.

Watanganyika na wazanzibar tuamke
 
Back
Top Bottom