Kila siku watu 3 paka 5 hutelekezwa kituo cha mabasi Magufuli

Kila siku watu 3 paka 5 hutelekezwa kituo cha mabasi Magufuli

mwakani naolewa

Senior Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
148
Reaction score
426
Kila siku watu watatu mpaka watano hutelekezwa kituo cha mabasi cha Magufuli kilichopo jijini Dar es salaam wengi wao wakiwa ni watoto wenye umri chini ya miaka 18.

Ofisi ya ustawi wa jamii kituoni hapo inasema kuwa wengi wao hutoka majumbani kwao na kuja Dar wakiamini kuwa ndo kuna maisha mazuri, wengine huletwa na kuahidiwa kupatiwa kazi na mwishowe hutelekezwa stendi hapo wasijue pakuelekea.

Aidha sio raia wa Tanzanbia pekee wanaotelekezwa stendi hapo bali hata raia kutoka nchi nyingine kama Congo, Uganda na nchi nyingine.

 
kila siku watu watatu paka watano hutelekezwa kituo cha mabasi cha magufuli kilichopo jijini Dar es salaam wengi wao wakiwa ni watoto wenye umri chini ya miaka 18. Ofisi ya ustawi wa jamii kituoni hapo inasema kua wengi wao hutoka majumbani kwao na kuja Dar wakiamini kua ndo kuna maisha mazuri, wengine huletwa na kuahidiwa kupatiwa kazi na mwishowe hutelekezwa stendi hapo wasijue pakuelekea. aidha sio raia wa Tanzanbia pekee wanaotelekezwa stendi hapo bali hata raia kutoka nchi nyingine kama Congo,Uganda na nchi zingine.
Wengi wanakuja bila mawasiliano yoyote na wenyeji wao, wengine wajipokea wenyewe ila wakifika stendi mambo yanakua tifauti matarajio yao inebidi wajisalimishe kwa ustawi, maisha bila mwenyeji nimagumu sanaa.
 
Ukiisoma tittle haraka haraka unaweza dhani ni stori ya ushirikina. Yaani watu watatu na paka watano🤯🤯🤯😅
1000012590.jpg
 
Back
Top Bottom