Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Huu ni upumbavu,timu zote za kushuka daraja Ligi Kuu zishuke directly na zinazopanda Daraja zipande directly.Play of mara nyingi inazi favour Zile zinazotoka ligi Kuu....Utaratibu mbovu Sana
Mbona Mbao alishushwa kwenye play off na timu ya daraja la kwanza na hamkulalamika?
Brother,Huu ni upumbavu,timu zote za kushuka daraja Ligi Kuu zishuke directly na zinazopanda Daraja zipande directly.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watazifunga timu za ligi kuu wakishakutana nazo na kuzizioea kimashindano, kwa sasa ni kuwaonea tu, timu haina mdhamini wanaunga unga kila kitu, halafu unakuja kuwapanga na timu kama Mtibwa na Coastal zenye expirience ya kutosha sio fair ndio maana timu za ligi kuu huwa hazifungwi, muhimu timu za ligi kuu zikutane zenyewe ataefungwa ashuke.Kama hawawezi kuzifunga timu za ligi kuu kwanini wanataka kuja ligi kuu?. Au huku ligi kuu watakuwa wanacheza na timu zipi?.
Out of 100% timu ya daraja la kwanza kuifunga ya ligi kuu ni only 30% hii haitakiwi hakuna usawa, waligi kuu wakutane wenyewe, na daraja la kwanza wakutane wenyewe.Msimu uliopita timu ya Ligi kuu ilifungwa na timu ya daraja la kwanza na kushushwa daraja unasemaje juu ya hilo ?