Lakini leo hii hata hao wachache hawathaminiwi badala yake limezuka kundi la mabedui wachache ndio wanaitafuna nchi watakavyo kwa kujiona ni mungu watu, Mwenyezi Mungu awalaani hao mabedui waliojificha kwenye jina la wazalendo
HahaWalaaniwe walioipigia kura CCM
Jamaa Lowassa hakushindaKwa mada hii kidogo tu kuna kitu nimejifunza. Nikweli Mh. Lowassa alishinda uchaguzi. Ila haya mafedhuli yanajifanya yanajua kuchezea haki za watanzani. Mungu atawalaani ipo siku yaja
Mkuu britanicca , we mtu wewe!. Bandiko hili la 2015, uliyajuaje haya?!.Inasemekana kwamba kuna Muhaya mwingine anaandaliwa kuingia ikulu 2025 na Muda si mrefu anapewa ukuu fulani kwenye wizara Alafu awaomgoze nyote ,
Pascal Mayalla Jamaa alimuahidi Urais Bashiru kitambo hahaha
[emoji848] I see!Pascal Mayalla Jamaa alimuahidi Urais Bashiru kitambo hahaha
Na turufu hiyo hatuipati tena walaiMkuu britanicca , we mtu wewe!. Bandiko hili la 2015, uliyajuaje haya?!.
Kiukweli kabisa Katto ni alikuwa ni mpango wa Mungu kwa Tanzania, ila basi tuu, ndio hivyo tena, akazidisha hadi akaharibu hivyo kumsababishia YEYE kukosa jinsi, kula kichwa kwa kumuita kwake!.Na turufu hiyo hatuipati tena walai