Kila ukifika wakati wa kulala najisikia kuumwa

Kidume cha mbegu

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2015
Posts
1,251
Reaction score
709
Habari zenu wana JF,

Mimi ninamatatizo ambayo yananikuta usiku tu nikifika kitandani kulala.

1.Macho huwa yanaanza kuwasha pindi nikifika tu kitandani wakati kutwa nzima nakuwa niko poa.

2. Mafuwa huwa yananiban sana nikifika tu kitandani kulala.

3. Meno.
N.B
Yote hayo huwa yanatokea siku tofauti yani mfano Leo yanakuwa mafuwa kesho macho siku nyingine meno.

Nilikuwa naomba msaada wenu nifanyeje ili nipate tiba ya haya magonjwa yanayo niandama usiku tu nikilala.
 
Nenda Hospitali ukapime huenda una Presha ya macho ninakushauri pia uwe una jizoesha kabla ya kulala kunywa maji ya uvuguvugu glasi 1 kisha ndio ulale fanya hivyo kila siku kisha uje unipe Feedback.
 
Nenda Hospitali ukapime huenda una Presha ya macho ninakushauri pia uwe una jizoesha kabla ya kulala kunywa
maji ya uvuguvugu glasi 1 kisha ndio ulale fanya hivyo kila siku
kisha uje unipe Feedback.[/
QUOTE]
Haya asante kwa ushauri taanza leo
Nenda Hospitali ukapime huenda una Presha ya macho ninakushauri pia uwe una jizoesha kabla ya kulala kunywa maji ya uvuguvugu glasi 1 kisha ndio ulale fanya hivyo kila siku kisha uje unipe Feedback.
 
Allergy ya unapokaa! Especially kama umebadili mazingira hivi karibuni
 
UOTE="dist111, post: 15126219, member: 111208"]Allergy ya unapokaa! Especially kama umebadili mazingira hivi karibuni[/QUOTE]
Ni kweli mkuu maana nimehamia nyumba nyingine na eneo linguine kabisa ila Kule nilikokuwa nakaa mwanzon yalikuwa hayatokei kabisa haya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…