Kila ukiingia mtandaoni unakutana na swali: "Je, unataka mkopo?" Na sisi tunawauliza; je, mmetumwa?

Kila ukiingia mtandaoni unakutana na swali: "Je, unataka mkopo?" Na sisi tunawauliza; je, mmetumwa?

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Je, mnataka kuzulumiwa?
Je, mnataka tukope tuwakimbie?
Je, mnataka tusiwalipe?
Je, mtatushtaki wapi?

Je...
Je....
Je...

Embu acheni hizo bwana msitake tukope tuanze kuaibishanaa kwenye msg pls
 
Watanzania tubadilike! Ukikopa hebu lipa mkopo wako. Umekopa mkopo na unajidai kwamba hautalipa halafu unashinda kanisani au msikitini, sasa sijui unafuata nini huko.
 
Ingekua zile app za mikopo haziombi address book ya muombaji, ningewasumbua sana. Sasa nasikia wanaomba access ya address book yako, ukichelewa kulipa wanatuma meseji kwa watu wako wote na wanaunda hadi group la WhatsApp wanawaingiza watu wako wote kisha wanaanza kukuchafua.

Itakua aibu kubwa sana watu wangu kujulishwa kwamba nimekopa laki 2 mkopo app halafu nimeshindwa kulipa. Aibu ya mwaka.
 
Back
Top Bottom