Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

Mkuu nimechimbua hadi huko SS lakini hakuna inayoonyesha, kama kuna VPN unatumia tuelekeze nasi tupate hizo SS

Hapo ulipofika ndo penyewe..sijui...labda ni tatizo la network ya line unayotumia..sio mtaalam sana mm ila mi natumia vodacom na wakat wa mechi huwa inaonyesha vizuri tu
 
Mimi natumia zantel 3G maana ndiyo ina bundle zenye unafuu kidogo pia inastream hadi hd 720P bila ya kuloga.
ngoja niweke bundle ya buku voda nicheck kama zitafunguka.
 
INNOMATIX nimeweka voda hapa but hakuna kilichobadirika

kamanda hzo janga sema jamaa anakufcha tu hazioneshi...mm mwenyew hvyo hvyo natumia galaxy note 3 line ya vodacom lkn wap...nmetest had kwa washkaj hvyo hvyo akuambie ukwel tu
 
Last edited by a moderator:
kamanda hzo janga sema jamaa anakufcha tu hazioneshi...mm mwenyew hvyo hvyo natumia galaxy note 3 line ya vodacom lkn wap...nmetest had kwa washkaj hvyo hvyo akuambie ukwel tu

Ahaaaa!!
Hakijaharibika kitu maana kuna bein sports,sky sports etc so mziki unachezeka
 

Mkuu chief mkwawa ubarikiwe tena na tena kwa huu uzi mzuri, na nimejilizisha kama kitu ni live kwa kuiangalia tv ya arijazila kwenye laptop na king'amuzi nikakuta Habari ni ileile.
 
Haujakosea kitu kitu rudi tena video then add on utaona ile add on yako ipo (imeshakua installed) iclick itafunguka na kuonesha video zake

Sasa hivi nikifungua inasoma hivi kwanza. Na shida ingine nataka kuzipata chanell za movies kam WB,HBO nk
 

Attachments

  • 1439373139901.jpg
    32 KB · Views: 220
Shukrani zimwendee mleta uzi, solution n Nini kwenye tatizo la kuplay muvi afu unasikia sauti tu huku picha haionekani. .?
 
Sasa hivi nikifungua inasoma hivi kwanza. Na shida ingine nataka kuzipata chanell za movies kam WB,HBO nk
Itakuwa hio add on inataka add on nyengine kufanya kazi.

Hbo ipo kwenye add on nyingi tu, sina pc hapa nkuangalizie ila nafkiri hata kwenye phoenix unaipata hebu test kuieka phoenix
 
Itakuwa hio add on inataka add on nyengine kufanya kazi.

Hbo ipo kwenye add on nyingi tu, sina pc hapa nkuangalizie ila nafkiri hata kwenye phoenix unaipata hebu test kuieka phoenix

Mkuu nimeiona HBO kwenye phoenix Asanteh sana na vipi taratibu za kuweka add on nyingine ni kama alivyoelekeza mkuu uludodi au vipi?
 
Last edited by a moderator:
Live now on skysport 1 Portsmouth vs Derby count!!
Saafi Thanks Chief mkwawa
 
kamanda hzo janga sema jamaa anakufcha tu hazioneshi...mm mwenyew hvyo hvyo natumia galaxy note 3 line ya vodacom lkn wap...nmetest had kwa washkaj hvyo hvyo akuambie ukwel tu

Kwa nn niwafiche..wakti mi sifaidiki na chochote hata nikikudanganya...mkuu kwangu inaonyesha,sijui kwenu tatizo ni nn,labda mwenye uelewa ataelezea baadae...niliwahi kupost kwa nn supersport 3 niliyonayo inaonyesha mechi na za kwenye decorder hazionyeshi.mechi...nilichogundua ni kuwa iliyopo kwenye kodi ni hd japo quality yake ni standard quality...mkuu endelea kujaribu...nilipweka israeltv mara ya kwanza,trace urban ilikataa kabisa ila siku kadhaa mbele ilionyesha,nakusihi kuwa mvumilivu au tafuta ushaur kwa watu wenye uelewa zaid
 

barida kamanda wangu nmekusoma ngoja nijarbu jarbu kibish coz kwangu inaload tu
 
Kaka hapo sasa sijui tatizo ni nn,hebu tafuta ushauri kwa watu wenye uelewa zaidi hasa mleta uzi

uko sawa mkuu INNOMATIX mimi mwenyewe nilipata tatizo kwenye add on ya Pak india live before ilikua haifunguki lakini baada ya siku kadhaa nilipofungua kodi ikafanya updates yenyewe tu ikaanza kuonyesha .,
hata kwenye hizo supersport na mimi napata tatizo hilo hilo so ngoja nivute subira labda zitaonekana siku zijazo kama kweli wewe unazipata
 
Last edited by a moderator:
Chief Mkwawa,Njuwa Mavoko,asanteni kwa taaluma mliotupatie,kwangu nimefata hatua zote na kufanikiwa,isipokuwa kwa Vdubt25 ukifungua haioneshi channel yeyote na Paki india live ukifungua zinaonesha channel zoe ila ukiclip to play baada ya sekunde kadhaa inadisplay massegi hii PLAYBACK FAILED.Error check the log for more information. sijui tatizo ni nini,ila Phoniex inaonesha vizuri tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…