Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

Okay...
Mkuu hapo tatizo ni connectivity tu...jaribu tena na tena kuifungua...

NB: Naamini hujakosea maelekezo...

Mkuu inaniandikia hivi nikiifungua hiyo chanel
ONE OR MORE ITEMS FAILED TO PLAY.CHECK THE LOG FOR MORE INFORMATION ABOUT THIS MESSAGE
 
Okay...
Mkuu hapo tatizo ni connectivity tu...jaribu tena na tena kuifungua...

NB: Naamini hujakosea maelekezo...
Mkuu imegoma kabisa kufunguka hiyo azam 2.sijui tatizo nini??
 
Wakuu kuna plugin yeyote ya kuonesha wanyama kwenye kodi yangu msaada
 
Nenda google andika azam media flash page ingia humo utaona azam nenda google andika cloud tv online utaona option nyingi chagua moja wapo enjoy ur self Mb zako tu star tv na TBC hao hawana jipya
 
Nenda google andika azam media flash page ingia humo utaona azam nenda google andika cloud tv online utaona option nyingi chagua moja wapo enjoy ur self Mb zako tu star tv na TBC hao hawana jipya
Bila kulipia alafu MB zinahusishwa? je kuna mahali zinapatikana MB bure?
au mimi ndo sijaelewa somo.
 
mh. hapa panahitaji utulivu na umakini wa hali ya juu ili kufanikisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…